Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha wanune tu, hii ndio Arsenal

Wazee wa mikimbio, runners in behind, carry over, wazee wa diagonal pass ndio sisi, blind side movement, third man pass, mwamba Mikel Arteta kwenye touchline afu kule Eberech Eze, aah we are the gunners, The Mighty Arsenal in the building. Njoo tukupige hamsa, shoga yenu Manyumbu juzi yaliponea chupuchupu
 
Huyu nilishaamini kuwa anaenda Sp*rs, then ghafla bin vuu nasikia tumevamia dili la Sp*rs na tunamchukua sisi. Sikuamini. Nilifikiri ni Photoshop imetumika kuedit na kuweka "here we go" ya Romano.
Spurs wanamchukia Eze kama Liverpool wanavyomchukia Zubimendi, ama shoga yao manyumbu wanavyomzomea Gyokeres, wengine walichukua ligi, wengine walichuana europa, nasi hatukupata kitu, but wachezaji wanatupenda.
 
kilichobakia ni namna arteta atatumiaje silaha alizo nazo.. wachezaji hawafnani haiba zao.. ila ukiwatumia kwa miundo tofauti tofauti ya kiuchezaji.. wanakupa matokeo.

namna ya kushambulia iwe inabadilika mara kwa mara.. kuepusha wapinzani kukukariri.. naamini solutions anazo za kutosha msimu huu.
 
1000518013.jpg


Kwanini sisi?
 
Reporter: “Can I mention the three-letter word?”

🗣️ Mikel Arteta: “Are you gonna say ‘Mum’?”

🗣️ Reporter: “Eze.”

🗣️ Mikel Arteta: “Yes. Nothing to comment, I can never talk about any player that is not part of our club yet!” 🤣❌
 
Back
Top Bottom