Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duuuh kwamba cunha ni walewale kaa na Ben white akuelekeze vizuri maana pumzi ilikata, saivi kapumzika nenda kamuulize yule cunha vipi aanze kukupa madesa usisahau kubeba ream paper kubwa kama 3 ivi.

Sporting walishasema no refunds hahah gyokeres 1 Vs 1 anaacha mpira nyuma[emoji23]
Leteni 150 tuwape isak , tofaut na hapo mtaendelea kupigwa na chelsea.
Nan aanze Kati ya gyokeres na havertz ??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kati ya Kokores na Weghorst aiseee bora ya Weghorst atakusaidia hata kukabia juu, ila huyu Kokores ni abiria tu uwanjani, yaani Tetea Kiwigi kama kweli ana akili ni mara 100 amuanzishe Kai Harvez timu ikipata matokeo ya uhakika ndio unaingiza hio Kokores.
Utd kupoteza leo itatusaidia kuingia sokoni haraka kusajili Dm kabla ya dirisha halijafungwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kati ya Kokores na Weghorst aiseee bora ya Weghorst atakusaidia hata kukabia juu, ila huyu Kokores ni abiria tu uwanjani, yaani Tetea Kiwigi kama kweli ana akili ni mara 100 amuanzishe Kai Harvez timu ikipata matokeo ya uhakika ndio unaingiza hio Kokores.
Utd kupoteza leo itatusaidia kuingia sokoni haraka kusajili Dm kabla ya dirisha halijafungwa.
Na alivyo toka tu kokores akaingia kai Arsenal mbele kama walipata uhai ivi
 
Ninyi vibakà wa london mmefunga kiwete Manu kwa kubagatisha mtatupigia kelele siku nzima humu , ngoja mkutane na vidume Chelsea ,mtajuta kuingiza ndani hicho kikundi Chenu cha wanenguaji
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kati ya Kokores na Weghorst aiseee bora ya Weghorst atakusaidia hata kukabia juu, ila huyu Kokores ni abiria tu uwanjani, yaani Tetea Kiwigi kama kweli ana akili ni mara 100 amuanzishe Kai Harvez timu ikipata matokeo ya uhakika ndio unaingiza hio Kokores.
Utd kupoteza leo itatusaidia kuingia sokoni haraka kusajili Dm kabla ya dirisha halijafungwa.
Hapa bila kupepesa macho wamepigwa mchana kweupe huyu goli 15 hafiki.
1 vs 1 striker linaacha mpira nyuma, havertz ninaamini kagusa mpira mara nyingi kushinda gyokeres na bado dakika alizocheza ni chache
 
Top 4 mwaka huu kuna kazi.. Unaweza kusema ni mapema sana lakini Man utd mbali na kupoteza lakini kwasasa ni timu nyingine kabisa.. Unaona kuanzia katikati mpaka mbele wanaelewana na kuna kitu wanatafuta.. Ni vile leo bahati haikuwa kwao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu kwanza hongereni kwa kujipatia 3points ugenini, kweli duniani mambo hua yanaenda yanabadilika, yaani siku hizi Arsenal inapata points kwa united hata ikicheza hovyo wakati zamani hata mkicheza vizuri mlikuwa hampati kitu.





#Arseno Ndoo
#Kokorez Kiatu
 
Ndoo ya kuchambia ama?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu kwanza hongereni kwa kujipatia 3points ugenini, kweli duniani mambo hua yanaenda yanabadilika, yaani siku hizi Arsenal inapata points kwa united hata ikicheza hovyo wakati zamani hata mkicheza vizuri mlikuwa hampati kitu.





#Arseno Ndoo
#Kokorez Kiatu
 
Hawa manjesta ni wake wetu halali hadi ukweni tunaweka tu
Ishu sio arsenal imecheza vibaya
Ishu no arteta hakujua anorin atakuja vipi ndio maana akaretreat tangu mechi inaanza ila kuanza na ushindi na clean sheet ni ndoto ya kila timu ligi kuu
 
Draw against villa, mkuu nyinyi hata false hope msimu hazitakuepo , team hata pasi 10 mnashindwa kupiga, haya magoli ya kona hata top 4 itakuwa papatupapatu tu.
Najua huwezi kunielewa hii August nyinyi ni slow learners utanielewa May huko
Tutaendelea kubishana na watu wa Cheltako na Manunu hmu ndani..sio nyukesto shehe....katika watu ambao Huwa siwafikirii ni nyinyi mna mnajulikana mwendo wenu.....Watu wanaacha mnalea mtu halafu wanakuja kienyeji kumteka....mchezaji kukataa kucheza akiwa na contract ya miaka 3 ni dhereu kubwa mno......msimu ujao na ka Gordon Nako katakaza makalio kanataka kundoka....tqfuta mtu wa Nottingham forest ndo ubishane naye sio hmu shehe
 
Ninyi vibakà wa london mmefunga kiwete Manu kwa kubagatisha mtatupigia kelele siku nzima humu , ngoja mkutane na vidume Chelsea ,mtajuta kuingiza ndani hicho kikundi Chenu cha wanenguaji
Ww ndo usisogee kabisa hmu ndani😀😀😀....nyny hata tukapige gemu huko mbinguni yaani hamtufungi.....timu Ina mwaka wa 20 haijatufunga lakini inakuja hmu kututisha....hii ni maajabu aisee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu kwanza hongereni kwa kujipatia 3points ugenini, kweli duniani mambo hua yanaenda yanabadilika, yaani siku hizi Arsenal inapata points kwa united hata ikicheza hovyo wakati zamani hata mkicheza vizuri mlikuwa hampati kitu.





#Arseno Ndoo
#Kokorez Kiatu
Jana ndo mkaamua kutoa mabomu na mapanga yenu yte lakini wapi😀😀😀....mm nawatakia kilq la heri mkuu mkikutana na kina Chelkenge....Livakuku na Mama cita....ila mechi na vitimu vngine vdogo mdundwe tu....Ubaya Ubaya tu
 
Presha ya OT
Game ya kwanza ya msimu
Watu wametoka pre season wapo fit na wapo home

Kupata points 3 haikua kazi nyepesi, tusubiri game ijayo kwa tasmini na uchambuzi. Hii tuiache ipite tu

Jana nyumbu wametupelekea sana moto. Mtu kwao. Sio kenge chelshit wale ambao tunajipigia tutakavyo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau hivi mna uhakika huyu ndugu yetu hajaanza kutumia ngada kweli?
Ukiachana na hii appearance yake, siku hizi hata uwezo wake uwanjani unatia mashaka sana.
1755510478812.jpg
 
Chama langu jana nimeshangaa sana.
Hivi ni kweli walikuwa PRE-SEASON au walienda HONEYMOON?
1.Saliba miguu imepoteza ushirikiano na mpira kabisa.
2.Zubimendi achukue video za partey ajifunze kitu, sijui ni game ya kwamza, pia ana uchaguzi mbovu wa sehemu ya kupasia.
3. Kiungo chetu jana kilikuwa exposed mnooo, zaidi ya mipira mi3 inatoka kwa bayindir bey mpaka kwa mido ya man u na anapokea mpira easy, ana turn kwwtu easy na anaachia pasi.
4. Kale ka odegaard kamezidisha ubishoo, kuna muda anachelewesha mpira ili tu afosi kupiga vipasi vyake vya kunyanyua, jana kuna mipira ya kuachia yeye anafosi kwenda nayo..
5. Gyokeres aambiwe arelax, akofosi na kucheza kwa presha atakuwa flop.

Jana tumeshinda ndio hivyo mpira sio ngumi kusema kuna point, ingekuwa hivyo jana ushindi haukuwa wetu, manunu fc walikuwa bora zaidi yetu karibia kila sehemu.

Ngoja tuone game zijazo ili tujue msimu huu ni kugombea top 4 ama top 6
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom