Ni kweli leo walikuwa na makali sanaLakini mkuu tukiacha ushabiki pembeni, Mbeumo na Cunha ni proven EPL player. Na leo wametuonyesha na kututhibitishia hilo.. Kama mtu utakuwa una wasiwasi na mbeumo au Cunha basi unahitaji kuwa na wasiwasi zaidi kwa Victor Gyokeres.

