odegard na martineli aisee hawa jamaa wametusaidia vyakutosha ila hawawez kutupa ubingwa hawaTumecheza vibaya sana first half.
Kwahiyo mnategemea kua wa 15 tena msimu huu?Kwahiyo mnategemea kubeba ubingwa kupitia kona
Arsenal wawauze tu hata kwa hasaraodegard na martineli aisee hawa jamaa wametusaidia vyakutosha ila hawawez kutupa ubingwa hawa
Mchezaji mzuri ila sio wa kumtisha mtusema muda mwingi humu tunatumia kutaniana ila kiukweli chelsea wamepata forwd mzuri sana kwa bei rahisi Pedro unaenda kuwa usajili bora wa msimu kwa upande wa forwad jamaa anajua sana aisee
Kila mara unapojipa matumaini Arsenal imekamilika lakini ukiingia ndani ya uwanja unaona bado kuna deadwood nyingine ambazo zinalindwa na aibu tu lakini uwezo umepungua sana... Martinelli na Odergard kiukweli uwezo wao umepungua sanaArsenal awauze tu hata kwa hasara
Hamna mchezaji hapa jamaa habadiliki …trust me eze anapaswa amreplace odeOdergard naye aache Mawenge, anapoteza basi za kutengeneza magoli kiboya sana.. Ndio maana watu inafika mahali wanahoji uongozi wake kama captain wa timu.
Tumecheza vibaya sana first half.


Bahati yenu sana Amorim leo amewabetia ndio maana hajataka kuwaanzisha Sesko na Amad. KabisaKila mara unapojipa matumaini Arsenal imekamilika lakini ukiingia ndani ya uwanja unaona bado kuna deadwood nyingine ambazo zinalindwa na aibu tu lakini uwezo umepungua sana... Martinelli na Odergard kiukweli uwezo wao umepungua sana