Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Odergard naye aache Mawenge, anapoteza basi za kutengeneza magoli kiboya sana.. Ndio maana watu inafika mahali wanahoji uongozi wake kama captain wa timu.
 
Kila mara unapojipa matumaini Arsenal imekamilika lakini ukiingia ndani ya uwanja unaona bado kuna deadwood nyingine ambazo zinalindwa na aibu tu lakini uwezo umepungua sana... Martinelli na Odergard kiukweli uwezo wao umepungua sana
Kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom