Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mi nakwambiaje EZE akija arsenal tunachukua PL, sjui kwann ila i prefer EZE tha odegard
Huenda Eze ni mkali kuliko Ode. Akija Eze anaweza kumkalisha Ode bench. Ode alivyorudi kutoka majeruhi alikuwa anaujinga mwingi sana kwenye maeneo hatari. Kama Nwaneri ndiyo anategemewa kuja kurithi number ya Ode, nafikiri ni vizuri kuwa na mtu kama Eze kwa misimu michache ili kumpa ushindani Ode huku kijana akizidi kuimarika.
 
Hamtamsajili Eze mark my word
 
Unamuangalia max downman jinsi anavyotembea na mpira facing opponents directly na unagundua ndo kitu pia tumekikosa kwa muda mrefu.

A baller,a carrier(sio runner) mtu ambaye anaweza akapokea mpira na akawafata watu wawili na akatengeneza njia.ananikumbusha prime Samir Nasri.
Kuna wakati structure ya timu inafeli na hapo ndipo unahitaji individual brilliance ili kupata matokeo.

Hawa wachezaji ni wachache mnoo.ila city Ina bahati na hawa watu.kulikuwa na David Silva na baadae wakampata Bernardo Silva.Barca walikuwa na andres iniesta. Anaweza asiwe mzuri kwenye kukaba ila mpira ukifika kwake unapata utulivu.hawatoi pasi kwa presha ya anayemkaba ila wanatoa pasi wanapoona nafasi wanayotaka.

Wanavunja structure,wanavusha phase za uwanja,wanavunja low-block setting na Wana unlock patterns.its lovely to see them.

Sijui tutapata wapi na lini mtu kama huyo ila wanaweka griss kwenye vyuma ili kulainisha. Unakumbuka kazi ya NWANKWO KANU?.

Talents zinapungua ila system na structure zinatake over.ukifanikiwa kupata talent ukaifit kwenye structure yako it become booooom
 
Asenyetoooooooz mupooooo ? ,Baba zenu Chelsea ,vidume pekee London tunasubiri ,msimu uanze tuwashenyente
 
Matimu mengine ovyo kabisa , litimu lina michezaji yenye majina kama mazombi , sasa lichezaji linaitwa Zubimendi ,mara Siliba mara Kondoo wa Merino
 
Joao Pedro ni Bora kuliko Glock kwa maana ameshaprove ndani ya EPL na striker ambaye yupo full package
Kisoka, hiyo si sababu.. tusubiri msimu uanze tuzungumze.. unayakumbuka ya torres, sanchez na wengine ambao walikuwa wameprove ndani ya EPL walipohama timu wakawa mashuzi tu.
Tusubiri kila mmoja atatuonesha ubora wake.
 
Eze akija anakuja kuchukua namba ya Martinell & Trossard
Aje kumpa ushindani Odegaard. RCM au LCM panamfaa zaidi ila nasema RCM ili awe na Rice kama LCM wake. LW nasikia anaiweza vizuri tu ila katikati ndiyo kwake zaidi.

Hata hivyo, wachezaji huwa wanabadilisha namba mara kibao tu. Sikuwahi kudhani kama Ashley Young atakuja kuwa beki. Rice mwenyewe katoka kuwa CB mpaka DM na kwetu sasa ni LCM...
 
Wapinzani wajiandae kunyeshewa mvua za magoli😅View attachment 3419797
Ni mawazo yangu tu, ila nafikiri ujio wa huyu jamaa kwetu ndio umempa presha Isak na kumfanya atake kuwaacha akina Labyrinth 84 na kukimbilia Liverpool.

Pamoja na kuwa huwa wanacheza wote kwa Sweden, ila Isak anaweza kuwa na wasiwasi wa kupitwa na Gyokeres kama chaguo la kwanza kwenye nafasi ya striker kwenye timu ya taifa. Pamoja na mafanikio mengine atayopata na Liverpool kwa kucheza na akina Salah na Gakpo, hili la timu ya taifa, huku kuna kombe la dunia mwisho wa msimu, naliona kama ni moja ya sababu kwa Isak kwenda Liverpool.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…