Madueke ni mchezaji wa aina ya kina sterling wanashida kwenye attitude na consistency wachezaji wa namna hii ngumu kufanikiwa game moja anakupa A" unasema huyu Messi mtupu next game unajiuliza huyu ndio yeye au pacha wakeHalafu mara nyingi wachezaji wanaosemwa sana hivi ndio wanakuja kuwaprove wrong. Nawashauri mashabiki wa Arsenal mpeni muda Madueke msimpe presha kubwa anakuja kuwasaidia. Madueke ana kitu nadhani Arteta afanye kazi ya kumpunguzia presha tu atatoa output ambayo wengi hamtaitegemea.
Sasa kama mchezaji anakuja Chelsea ndani ya wiki mbili ana kombe la dunia kwann tushindww kulipa pesa zote hizo?Nyie hamjatumia zaidi ya 500m kwa Brighton?
Upinzani upi ulianza miaka? nyie wa juzi au umesahau recently mmetuletea takwimu kwamba mnaongoza kwa makombe karne ya 21? kwenye game tupo long time since the days of Chapman & Graham, ukitaka tuongee upinzani usichague miaka, kipindi chapman analeta WM timu yako ilikuwa wapi? that's a rivalryKama wewe huoni waache wanaoona. Ndio maana nikasema wewe bado ni mchanga kwenye ushabiki wa mpira hasa ulaya. Huu upinzani hatujaanzisha sisi wasukuma tulioko huku Tanangozi au wachaga walioko Mugango, upinzani ulianza miaka. Lakini sio mbaya kujaribu kuchagua mpinzani ambaye unammudu kwa sasa japo naye keshaanza kukupiga gap. Sisi ngoja tukomae na Fulham.
Lakini pia sawa sisi ngoja tuendelee kulazimisha kama unavyojiaminisha
Kitakachomfelisha arteta ni hiyo tabia yake ya ujuaji.Tatizo la arteta mjuaji sana anajikuta tayari Guardiola yaani too many unnecesary experiments. Usishangae hata akamuweka LB au CAM!!
Hakuna aliyechagua mwaka shida yako unataka kubisha kushindana. Ndio maana nikakwambia kaa na misimamo yako.Upinzani upi ulianza miaka? nyie wa juzi au umesahau recently mmetuletea takwimu kwamba mnaongoza kwa makombe karne ya 21? kwenye game tupo long time since the days of Chapman & Graham, ukitaka tuongee upinzani usichague miaka, kipindi chapman analeta WM timu yako ilikuwa wapi? that's a rivalry
Makombe mawaili yapi? Huyu angekuwa first 11 kila mechi tusigefika kokote aisee too selfish player sehemu ya kutoa pasi ya bao anafosi yeye ukimyima pasi ukafunga wewe haji kushangilia ananuna puuzi kabisa hii alafu huwa hicho ni kiburi habadiliki kuna mechi alikuwa anagombea kupiga penalt yeye na takataka nyingine jackson wakati wote wanajua utaratibu mpigaji penalt ni palmerSasa mchezaji hajacheza hata mechi moja ya Arsenal unamwita Galasa??, angekua galasa angewasaidia chelsea kubeba makombe mawili. Kwanza chelsea wamefanya fear kbs, winga teleza ile ilitakiwa auzwe Β£100m.
Asante sana kwa kuona hilo.Tatizo la arteta mjuaji sana anajikuta tayari Guardiola yaani too many unnecesary experiments. Usishangae hata akamuweka LB au CAM!!
Madueke mashine ya kazi wewe, Kama ni mchezaji Arsenal wamepata. Nitumie fursa hii kuwapongeza Arsenal wamepata winga machachari sana. Kile kitambaa cheusi tu ndicho kinachomtofutisha na prime Mess, ila ni mess mtupu.Makombe mawaili yapi? Huyu angekuwa first 11 kila mechi tusigefika kokote aisee too selfish player sehemu ya kutoa pasi ya bao anafosi yeye ukimyima pasi ukafunga wewe haji kushangilia ananuna puuzi kabisa hii alafu huwa hicho ni kiburi habadiliki kuna mechi alikuwa anagombea kupiga penalt yeye na takataka nyingine jackson wakati wote wanajua utaratibu mpigaji penalt ni palmer
Timu iliyoshinda makombe mengi karne ya 21 maana yake mnajichagulia miaka ya ku define mafanikio, Kwanini msitafute takwimu za timu iliyoshinda makombe mengi kwa muda wote?Hakuna aliyechagua mwaka shida yako unataka kubisha kushindana. Ndio maana nikakwambia kaa na misimamo yako.
Hii ni timu aliyorithi Mikel Arteta kutoka kwa Unai Emery afu unamfananisha na Slot aliyerithi timu ya klopp ikiwa na Van dijk, Trent, Konate na Mo salah, ukumbuke misimu miwili mbele mwamba akaingia kwenye title contention na monster Pep Guardiola akiwa na peak squad iliyochukua treble, ukisema Arteta mjuaji, ofcoz ni mjuaji sababu kweli anajua.If you survived this you are a true Arenal fan
C&P
Kwani wewe karne ya 21 umeshinda makombe mangapi?Timu iliyoshinda makombe mengi karne ya 21 maana yake mnajichagulia miaka ya ku define mafanikio, Kwanini msitafute takwimu za timu iliyoshinda makombe mengi kwa muda wote?
miaka 40 jangwani ilikuwa hii. Uzuri ni mbele kulikuwa na Aubameyang akiibeba Arsenal mgongoni kama kobe.If you survived this you are a true Arenal fan
C&P
Leteni 65 hiyo ,ikichelewa bei inapanda mpaka 85 , πππππππ straika machachari kama Wakojacko ni adimu πππππIla mganga wa Chelsea ni kiboko, kuna tetesi zinaagaa kwa kasi kua Nyumbu tunamtaka Nicolas Jackson, utashangaa tunaingia kichwakichwa tunagongwa Β£65m na tunatoa.
Nyumbu na Arsenyashi kwa Chelkenge ni kama tu mbwa mbele ya chatu.
Huaga tunajipeleka wenyewe huku mkia tumeubana matter konny.