makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,505
Mara 100.. katika sajili sijazilibali basi huyu MADUEKE, sijamuona game nyingi ila hizo hizo chache zinanifanya nimkatae, na kikubwa zaidi alipocheza LW ndio kabisaaaa., sijui aeteta anataka amtumiaje kwa kweli, ngoja msimu uanze tupigizane kelele vizuri.Bora uone boli kali la Slegers huku ukiwacheki kina Kelly na Walti na vibukta vyao vidooogooo, kuliko kucheki boli kali la Arteta lenye akina Madueke na Kepa? 😀 😀 😀
Afu bingwa wa ilo kombe anakuwa chelsea 😂Litapigwa 433 moja matata lenye Olivia, Russo na Kelly pale mbele. Yale mabio yao hakuna beki atakayoyaweza. Nyuma yao Mariona akipenyeza through balls kama Xavi... wapinzani wameisha aisee.
Eti??Afu bingwa wa ilo kombe anakuwa chelsea 😂
Madueke 😃 😀 😄
Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !
Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !
Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
[/QUOT
Acha roho mbaya utoi ela yako mfukoniMadueke 😃 😀 😄
Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !
Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !
Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Madueke 😃 😀 😄
Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !
Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !
Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Sasa mchezaji hajacheza hata mechi moja ya Arsenal unamwita Galasa??, angekua galasa angewasaidia chelsea kubeba makombe mawili. Kwanza chelsea wamefanya fear kbs, winga teleza ile ilitakiwa auzwe £100m.Madueke 😃 😀 😄
Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !
Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !
Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Huyu mwamba dudukwe yuko vizuriiiMadueke 😃 😀 😄
Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !
Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !
Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Mashabiki wa arsenyeto bhana 😂Madueke 😃 😀 😄
Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !
Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !
Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Msimu wa lawama😃😃Mara 100.. katika sajili sijazilibali basi huyu MADUEKE, sijamuona game nyingi ila hizo hizo chache zinanifanya nimkatae, na kikubwa zaidi alipocheza LW ndio kabisaaaa., sijui aeteta anataka amtumiaje kwa kweli, ngoja msimu uanze tupigizane kelele vizuri.
Tatizo la arteta mjuaji sana anajikuta tayari Guardiola yaani too many unnecesary experiments. Usishangae hata akamuweka LB au CAM!!Mara 100.. katika sajili sijazilibali basi huyu MADUEKE, sijamuona game nyingi ila hizo hizo chache zinanifanya nimkatae, na kikubwa zaidi alipocheza LW ndio kabisaaaa., sijui aeteta anataka amtumiaje kwa kweli, ngoja msimu uanze tupigizane kelele vizuri.
Unaupiga nondo za maana Kama vile Humphrey Pole poleKama wewe huoni waache wanaoona. Ndio maana nikasema wewe bado ni mchanga kwenye ushabiki wa mpira hasa ulaya. Huu upinzani hatujaanzisha sisi wasukuma tulioko huku Tanangozi au wachaga walioko Mugango, upinzani ulianza miaka. Lakini sio mbaya kujaribu kuchagua mpinzani ambaye unammudu kwa sasa japo naye keshaanza kukupiga gap. Sisi ngoja tukomae na Fulham.
Lakini pia sawa sisi ngoja tuendelee kulazimisha kama unavyojiaminisha
Lakini wachezaji wake wanatulipa vipi Joao Pedro, Caicedo, Cucurella na Sanchez unawaonaje??? Unaona hao wachezaji tumepigwa na Brighton au inabidi tuwape sadaka ya shukraniNyie hamjatumia zaidi ya 500m kwa Brighton?
Madueke ni mchezaji wa aina ya kina sterling wanashida kwenye attitude na consistency wachezaji wa namna hii ngumu kufanikiwa game moja anakupa A" unasema huyu Messi mtupu next game unajiuliza huyu ndio yeye au pacha wakeHalafu mara nyingi wachezaji wanaosemwa sana hivi ndio wanakuja kuwaprove wrong. Nawashauri mashabiki wa Arsenal mpeni muda Madueke msimpe presha kubwa anakuja kuwasaidia. Madueke ana kitu nadhani Arteta afanye kazi ya kumpunguzia presha tu atatoa output ambayo wengi hamtaitegemea.
Sasa kama mchezaji anakuja Chelsea ndani ya wiki mbili ana kombe la dunia kwann tushindww kulipa pesa zote hizo?Nyie hamjatumia zaidi ya 500m kwa Brighton?