Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Huyu amesajiliwa ili kumpuzisha Saka tukikutana na timu mlenda mlenda kama nyumbuz.Hongeri wanangu Gunners kwa kukamilisha sajili ya winga teleza Noni Yamal Madueke.
Uzuri wa Arsenyashi kwenye kusajili takataka mpo fasta kwelikweli, ila linapokuja suala la kusajili mchezaji wa maana mtajizungusha kama vile mmekewa gumzi matter konny. View attachment 3408121
Tunaongeza takataka kwa kweli...
Huyu MADUEKE nimewahi kumuona mara 2 tu, na zote hizo nikaamini mie nikifanya mazoezi ni bora kuliko yeye, sasa imagine mchezaji kama huyu ndio anakuja arsenal..
JAoa Pedro alivyomwambia kocha wa PSG Hana tofauti na Arteta akaona ni tusi ikabidi arushe ngumi ndio sisi Chelsea tutamani kuwa Kama nyie kweli ???Hapa ndipo shida ilipo kwa mashabiki wa Chelsea, wao bila kujifananisha na Arsenal hujiona underdog, sisi huwaza kujifananisha na The best km City / Madrid wakati wao huwaza kuhusu Mighty Arsenal all the time, we live rent free in their heads. Shabiki wa Chelsea hata akinywa maji huwaza je shabiki wa Arsenal kanywa maji? furaha yao ipo hapa
Madrid imejichokea nashangaa kuona kuna watu bado wanaiwaza kama timu ya kutishaHuyu amesajiliwa ili kumpuzisha Saka tukikutana na timu mlenda mlenda kama nyumbuz.
Then tukikutana na timu kama Real Madrid ndo tunapanga 1st eleven
Ni kwasababu Arsenal huwa wanatupenda sana Wana upendo wa agape kwetu wanatusaidia kwenye financial fair play ndio maana wakaanza na sisiNoni haikupaswa kuwa biashara ya mapema, tungeringa, jioooni kabisa tungepata kwa bei chee, kifupi anaefanya biashara sidhani kama anajielewa.
Kuna utakatishaji fedha na dili mbovu hawa wamarekani wetu na wa chelkenge wanafanya. Haya mambo hayaingii akilini.Noni haikupaswa kuwa biashara ya mapema, tungeringa, jioooni kabisa tungepata kwa bei chee, kifupi anaefanya biashara sidhani kama anajielewa.
Yes hawapo stable bado ila unaweza kushangaa next season wakabeba kombe, hawatabiriki waleMadrid imejichokea nashangaa kuona kuna watu bado wanaiwaza kama timu ya kutisha
Kama hawatapata CB, CM na ST wa maana sitarajii hiloYes hawapo stable bado ila unaweza kushangaa next season wakabeba kombe, hawatabiriki wale
Wana wachezaji sema tu timu haina morali na kocha hajapata mfumo wa kueleweka. Ile timu ikitulia bro mbona timu zitatafutanaKama hawatapata CB, CM na ST wa maana sitarajii hilo
Nahisi kuna mchezo wanaucheza.Kuna utakatishaji fedha na dili mbovu hawa wamarekani wetu na wa chelkenge wanafanya. Haya mambo hayaingii akilini.
Tuwaombee tu mema Noni na Kepa
Yule Hoijlund wenu sio takataka kweli?Hongeri wanangu Gunners kwa kukamilisha sajili ya winga teleza Noni Yamal Madueke.
Uzuri wa Arsenyashi kwenye kusajili takataka mpo fasta kwelikweli, ila linapokuja suala la kusajili mchezaji wa maana mtajizungusha kama vile mmekewa gumzi matter konny. View attachment 3408121
Hawa mabosi wote ni wamarekani, so hamna jipya zaidi ya hilo.Kuna utakatishaji fedha na dili mbovu hawa wamarekani wetu na wa chelkenge wanafanya. Haya mambo hayaingii akilini.
Tuwaombee tu mema Noni na Kepa
Inawezekana ushabiki wa mpira umeanza juzijuzi hujui wala huelewi haya yameanzia wapi ndio maana unasema haya. Kwenye hii michuano ya FIFA CWC ilikua ni Chelsea dhidi ya vilabu vyote vya EPL na wapinzani wakubwa ni Liverpool, Man Utd, Arsenal, Man City.Hapa ndipo shida ilipo kwa mashabiki wa Chelsea, wao bila kujifananisha na Arsenal hujiona underdog, sisi huwaza kujifananisha na The best km City / Madrid wakati wao huwaza kuhusu Mighty Arsenal all the time, we live rent free in their heads. Shabiki wa Chelsea hata akinywa maji huwaza je shabiki wa Arsenal kanywa maji? furaha yao ipo hapa
Njoo sasahivi uulizie bei ile best eleven utapata majibu yakoArsenal haijawahi kuuza mchezaji zaidi ya £40m.
Highest ni Chamberlain kwenda Liverpool, ilikuwa £40m