Arsenal (The Gunners) | Special Thread

😅😅😅😅😅😅, kwamba hujui Arsenyani ni chaka la Chelsea kuoffload takataka zake ? Mithili ya Jalala ?
 
Timu km Chelsea au Manyumbu ukipangia kina Madueke, Noorgad, Kepa, harvertz wanatosha kuwaua, sio lazima wacheze Saka au Eze
Timu kila mwaka inashindana kubaki na kombe lake la top four ndio yakuzungumzia nayo
 
Madueke mbona ni mtu sana tu

Madueke ana skills, sharpshooter, runner, versatile so timu kama nyumbu, kenge,.. atakua anazima fresh tu

Eze na Gyokeres hizi ndio funga kazi tunazo zisubiri
Madueke leo ameanza kuimbiwa nyimbo za kusifu na kuabudu kisa anakuja arsenal jinga kabiqa
 
Nitake radhi, sijawahi mkubali huyu ndege john mimi.
 
Madueke mbona ni mtu sana tu

Madueke ana skills, sharpshooter, runner, versatile so timu kama nyumbu, kenge,.. atakua anazima fresh tu

Eze na Gyokeres hizi ndio funga kazi tunazo zisubiri
kweli kabisa aiseee Madueke ni mtu na nusu.
Huyo Maduduke mmoja ni sawa na Desire Doue watano, Barcola wanne, Rodryigo watatu na Yamal wawili.
 
kweli kabisa aiseee Madueke ni mtu na nusu.
Huyo Maduduke mmoja ni sawa na Desire Doue watano, Barcola wanne, Rodryigo watatu na Yamal wawili.
Madueke n squad player, anakuja kumpa challenge martinel au anakula bench (mchezaji wa sub)

Msimu huu tuna jambo letu, mchezaji wa sub tunamchukua kwa €52m. Nyumbu hamuogopi?
 
Madueke n squad player, anakuja kumpa challenge martinel au anakula bench (mchezaji wa sub)

Msimu huu tuna jambo letu, mchezaji wa sub tunamchukua kwa €52m. Nyumbu hamuogopi?
Kweli kabisa Arsenyashi mmepindua meza, sasa hivi timu lenu ndio limekua tajiri kwa kusajili takataka za kukaa benchi kwa £50m halafu Nyumbu unaenda mwezi wa 3 huu wanashindwa kutoa £65m kumsajili Super Striker Bryan Mbeumo.
 
Viktor Gyökeres: “I only think about scoring and winning. It changes everything”.

“Premier League? I spent several years there without being able to play a single match. So, of course, it's something I'd like to do”.

“It would be great revenge!”, told L’Équipé.

 
Nyumbu, kenge mmejiandaaje na hii hatari inayokuja siku za mbeleni?

Dhahama kuu ndani ya epl
 
Sijawahi ona mchezaji anaing'ang'ania timu kama KUPE kama huyo boya gyokeresi sijui ...mchukueni aisee..huyo anaweza hata kumuweka mama yake kwenye swap deal ili aje kwenu...
HAhahaahahahaha mwamba una wehu sanaa.

Umejua kunichekesha aisee.
 
Natamani usajili wa Madueke usifanikiwe.

Hata akienda kupimwa afya agundulike ana minyoo.

Arteta bado hajawa kocha wakupambania makombe.

Yule ni kocha wakuiamsha timu ikifika ilipofika Arsenal unatafuta mtu kama Enrique aje akupe makombe.

Kama kocha anapambana kumpa Madueke kuna nini hapo mara 100 anngemuacha Nwaneri apate uzoefu kwa Saka huku akiimarika maana kaonesha kipaji kipo.

Ila siwezi kushangaa kama alileta Sterling takataka ile akaipa dakika kwenye mechi ambazo haikustahl.Inaonesha uwezo wake ulivyo.
 
😅😅😅😅😅😅, kwamba hujui Arsenyani ni chaka la Chelsea kuoffload takataka zake ? Mithili ya Jalala ?
Nunueni wachezaji dunia nzima ila tukikutana na nyny kama kawaida yetu....ni kuwafumua....bdo tumebakisha wachezaji wawili...Eze na Gyokeres....
 
£52m Noni Madueke to Arsenal confirmed.. Ridiculous signing, contrary to what we need.. Chelsea are the best in business.. He is ours now, we need to support him.
Kuna mchezo viongozi wa Arsenal na Chelsea wanaucheza. Haiwezekani huu ni umaku kabisa
 
Sahihi kabisa
 
Wakuu leteni hela hyo kwa streka la boli 😂...atamchallenge vzuri kai haverts na injury prone Gabriel Jesus

🚨 Arsenal are STILL interested in Nicholas Jackson.

However, they have not contacted Chelsea since they were told he'd cost £70M.

(Source: Standard Sport)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…