Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Kocha yule pimbi sana.Policy yetu ya uhamisho (kuuza na kununua) ni hovyo. Wakati mwingine tunatumia akili ndogo kufanya maamuzi. Hebu niambie:
Partey alikuwa anataka nyongeza ya £50k ili aendelee kubaki, ambapo kwa mwaka angekula £600k zaidi. Lakini kwa akili ndogo za Arteta na Berta wakaaona ni heri kutoa £10m kumnunua Norgaard kuliko kumuongeza Partey 50k.
Ni akili za kijinga sana. Ukiwa na watu wapumbavu kama hawa kwenye kampuni, huwezi kufanikiwa