Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,896
- 1,698
Amna cha lolote mkuu linaweza kutokea chelsea ni kifo tu hapo bna mpira unadunda ila siyo kwenye topeOf course odds zinambeba zaidi PSG na mashabiki wengi tunaamini Chelsea hana chake kwa PSG, Lakini Chelsea hizi European trophies alizonazo huwa anazichukua kipindi yupo hovyo vibaya. Lolote linaweza kutokea
Arsenal aliyekufa nje ndaniNaamini arsenal na bayern ndio timu pekee zilizoweza kuonyesha upinzani wa kweli kwa psg ukimuweka na Liverpool kidogo kwenye ile second leg ila timu ambazo hajakutana nazo na zinaweza kumpa pia challenge kali ni Chelsea pamoja na Barca
final naona sio nyepesi sana kwa psg japo utabiri wa ushindi upo upande wake
Tuna viaz maji wengi sana pale klabuni.Arsenal wana mradi gani na chelsea
Kusema Chelsea iko ovyo sana nakupinga Sasa hivi wapo kwenye wakati mzuri wamechukua conference cup kwa kutoa kipigo kikali kwa Real Betis ambayo huwa inazisumbua Barca na Madrid, Wameingia big 4 na katika mechi zake 14 za mwisho wamepoteza mechi 1 tu unawezaje kusema wako ovyo ? Yaani in short project yao imeanza kuwalipaOf course odds zinambeba zaidi PSG na mashabiki wengi tunaamini Chelsea hana chake kwa PSG, Lakini Chelsea hizi European trophies alizonazo huwa anazichukua kipindi yupo hovyo vibaya. Lolote linaweza kutokea
Huyo hawezi kusikilizia EUROPA ili aje arsenal. Kina interview alifanyiwa baada ya kuitwa national team, alisema alikuwa kwenye depression kubwa alipo achwa na academy.EZE:
Nimesikia:
1. Wamiliki wa Crystal Palace pia ni wamiliki wa Lyon. Lyon ilishushwa kwenda Ligue 2 ila imeshinda appeal yake na kurejeshwa Ligue 1.
2. Lyon ilisema kama itashushwa Ligue 2, basi itaiachia nafasi yake ya kushiriki Europa ila sasa kwa kuwa imerejeshwa Ligue 1, basi itashiriki Europa. Hili huenda likawa tatizo kwa Palace, kwa sababu sheria za UEFA hazitaki kuruhusu timu za mmiliki mmoja kucheza kweye shindano moja.
3. Palace kama mabingwa wa FA Cup, wamefaulu kushiriki Europa, ila ndiyo hivyo sasa sheria hii inawapa changamoto.
Kama Palace ikinyimwa kushiriki Europa, je itakuwa rahisi zaidi kwetu kumpata Eze kwa sababu yeye atatamani kucheza UCL kabla umri haujaenda sana na pia Palace huenda wakahitaji pesa tutakazowapa kuendesha timu yao maana watakosa pesa nyingi kwa kuwa nje ya mashindano ya Ulaya
Stop day dreaming bro, you'll pee on your beddingsNyie wamama! tutawasaidia kulipa kisasi kwa PSG.
Money laundering.. Hizi dili huenda zina upigaji ndani yake au zimekaa kimkakati kuisaidia Chelsea financially. 50m with ad ons kwa Noni Madueke seriously!!! ππ.. This club is rotted and loosing direction. No wonder huenda Edu Gaspar aliamua kutimka zake akaona kuna mambo
Usajili wa Gyokeres upo njia panda.Sina shida na usajili wa Madueke, potential anayo. Shida ada yake M50+. Ninahisi kama Kuna mchezo wa siri unafanyika. Huyu hakutakiwa kuzidi M20 imeenda sana M25
Money laundering.. Hizi dili huenda zina upigaji ndani yake au zimekaa kimkakati kuisaidia Chelsea financially. 50m with ad ons kwa Noni Madueke seriously!!! ππ.. This club is rotted and loosing direction. No wonder huenda Edu Gaspar aliamua kutimka zake akaona kuna mambo
Usajili wa Gyokeres upo mjia panda.Sina shida na usajili wa Madueke, potential anayo. Shida ada yake M50+. Ninahisi kama Kuna mchezo wa siri unafanyika. Huyu hakutakiwa kuzidi M20 imeenda sana M25
Sidhani kama tuna mpango wa kumchukua Noni kiukweli mpaka sasa. Tutakuwa tunacheza hangaisha bwege na watu halafu tunachukua mchezaji mzuri ambaye hakuna mtu anajua tunaongea nae mpaka msikie tu tumeshamsajili. Kama tulivyofanya na dili la Norgaard.