Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna hiki kitoto kipo Spain namba 10, kinachezea Barcelona, Vicky Lopez. Tukikipata Arsenal, tutachukua makombe yote. Kinajua football
 
na wale wanaosema kwamba mwaka huu arsenal mwaka huu asipotwaa kombe kibarua cha arteta kitakuwa mashakani sio kweli,kwanza wamiliki wa arsenal wanajua arteta msimu uliioisha ndio kaingiza pesa nyingi kuliko timu yoyote ya EPL kwahyo kazi yake ipo secured
 
Kwangu ntaona usjali bora zaidi kama kweli tukimchukua rodry au EZE sisi timu yetu kimuundo haina tofauti na city au PSG,number tisa sio mchezaji muhimu,mfano mechi yetu na PSG martnel angekuwa mzuri kwa umaliziaji tusingetolewa nao,hatuaji tu magoli tunahitaji mfumo uliokamilika mbape kaongoza kwa magoli hispania lakin madrid hawakuwa na kombe
 
Fungu la kukosa nyie,,,, ! Arteta ana kimavi tangu akiwa mchezaji, hawezi kushinda kombe la maana
 
Salah, chelsea alifeli,
Swali dogo tu angekuwa na moto ule wa Roma tu ama huu wa liverpool, nani angemuweka benchi!?
Hakuwa na kiwango bora hichi ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…