Kabla ya msimu kuanza mnakuwa na matumaini mengi kama haya ila ikifika ligi imeanza ssa nyie hao hao maanza kupiga makelele Arsenal ni ile ile hata aje nani ubingwa wenu ni kushika namba 2 ndio kombe lenu viande nyieTumalizane kwanza na Gyokeres, then Mosquera, then Eze. Baada ya hapo tuka bargain kimalingo kwa Rodrigo, Sesko.
Badala ya Madueke kwanini tusimfate Kudus. Yule tukigusa kidogo tu hachomoi, hakuna mchezaji asiye itamani arsenal sasahivi, kwanza arsenal damu kabisa yule
txt ya kutunzwa hii jmniMsimu huu sina wasiwasi kabisa maana nina uhakika wa top 10 mkuu.
Ila arsenal akiingia top 4 naacha kuangalia EPL mazima.
Bajeti inakataaTumalizane kwanza na Gyokeres, then Mosquera, then Eze. Baada ya hapo tuka bargain kimalingo kwa Rodrigo, Sesko.
Badala ya Madueke kwanini tusimfate Kudus. Yule tukigusa kidogo tu hachomoi, hakuna mchezaji asiye itamani arsenal sasahivi, kwanza arsenal damu kabisa yule
Bangi ile hata 2pac hajawahi itumia 🤣😂CEO wa Liverpool alishangaa , ikabidi apeleke maombi mpimwe akili au kama false hope wote mnavuta bangi maana mliongeza paun 1😂😂
Wachezaji wanabadilika, wanakua, viwango vinaoanda, viwango vinashuka pia..stats zake ni kuwa ktk msimu mzima aliocheza Brighton hakupata hata nafasi ya kuingia sub
Alipokuwa championship misimu minne aliyochezea Swansea na coventry city katika mechi 91 aliishia kufunga magoli 38,hapo kuna takwimu gani nzuri?
Anyway wacha tuone mchezaji wa farmers league kutamba EPLWachezaji wanabadilika, wanakua, viwango vinaoanda, viwango vinashuka pia..
Hakunaga usajili wa uhakika ni kubet tu.
Mwalimu anamchukua mchezaji kwa vile anavyoona anaweza mtumia..
Style of play ya mchezaji ndio mwalimu anaona huyu ananifaa ama lah!!
Subiri tuone.
Muda mwingine kubishana naonaga ni kipaji kizito, sometimes mazingira ya kwanza ni magumu.Haikumshinda cheki stats
Halafu goli 38 kwenye mechi 91 epl sio mbaya, firmino drogba hakuna aliye vuka hata goli 37 Kwenye mechi 90 zao za kwanza.Wachezaji wanabadilika, wanakua, viwango vinaoanda, viwango vinashuka pia..
Hakunaga usajili wa uhakika ni kubet tu.
Mwalimu anamchukua mchezaji kwa vile anavyoona anaweza mtumia..
Style of play ya mchezaji ndio mwalimu anaona huyu ananifaa ama lah!!
Subiri tuone.
Sio epl wewe ni championshipHalafu goli 38 kwenye mechi 91 epl sio mbaya, firmino drogba hakuna aliye vuka hata goli 37 Kwenye mechi 90 zao za kwanza.
Kwani Ollie Watkins kabla ya kuhamia a villa ali tokea wapi?, na ka prove au hapana?Sio epl wewe ni championship
Jamaa kacheza Bundes Liga daraja la 2 akafunga magoli 7.stats zake ni kuwa ktk msimu mzima aliocheza Brighton hakupata hata nafasi ya kuingia sub
Alipokuwa championship misimu minne aliyochezea Swansea na coventry city katika mechi 91 aliishia kufunga magoli 38,hapo kuna takwimu gani nzuri?
Hakunaga garantii kwenye usajili.Anyway wacha tuone mchezaji wa farmers league kutamba EPL
kumbuka nunez alipokuwa benfica na alipohamia liverpool
Daah leo hii mpaka mkorea anaongea hivi tena kwa uchungu ujue akili zimeanza kurudi mahali pake, Mkorea wewe si ndio ulikua mpiga zumari mkuu wa yule motivational speaker wenu Masingeli?
Lile jamaa lilikua na ushawishi wa hali ya juu sana, alijua kuwalisha upepo na analysis zake uchwara za pressing na overloading, positional interchange, flexibility na aerial duel, mambo yalivyokua magumu ikabidi liwe linapigwa haram football akahamia kwenye kusifia set pieces na nyinyi chawa zake mkawa mnaimba mapambio humu ya kusifu na kuabudu.
Sijui hata liko wapi sasa hivi Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, Mkurugenzi mkuu wa taasisi kubwa kabisa Africa mashariki na kati
hamis77 Integrated Investment Co. LTD
Nakusahihisha Salah hakufeli Chelsea Bali alikosa namba kwasababu kwenye nafasi yake alikuwa anacheza Willian alikuwa wamoto sana ndio maana hakawa hapati nafasi ya mara kwa mara.Ukisema kufeli maana nikushindwa kudeliver but kwa Salah pamoja nakuwa mara nyingi anaingia sub but huwa ana deliver kizuizi kwake ilikuwa namba anayocheza anacheza WillianHakunaga garantii kwenye usajili.
Salah alifeli Chelsea, akazunguka huko akaja na umoto wake liverpool ,sanchez wa moto arsenal akafeli madrid, di maria wa moto madrid akafeli.
unapo m-platform mchezaji kabla ya yote unaangalia profile yake ni nini anaweza kufanya, magoli ni jambo la mwisho, ingekuwa magoli ndio sifa basi Merino ana namba nzuri tuTunajitaji mtu wa kuweka mipira nyavuni
Hizo high ceiling, sijui runner hazikupi kitu mwisho wa michuano.
Kuna kipindi katika analysis arsenal tulikua vizuri kwenye overload, sjui high pressing. Mwisho wa siku ndio zikawa zinatumika hizo hizo kutukanwa humu
CEO wa Liverpool alishangaa , ikabidi apeleke maombi mpimwe akili au kama false hope wote mnavuta bangi maana mliongeza paun 1😂😂
Nilijua tu Maktaba kuu Flano akiiona tu hii post lazima atakuja na maneno mengi.Daah leo hii mpaka mkorea anaongea hivi tena kwa uchungu ujue akili zimeanza kurudi mahali pake, Mkorea wewe si ndio ulikua mpiga zumari mkuu wa yule motivational speaker wenu Masingeli?
Lile jamaa lilikua na ushawishi wa hali ya juu sana, alijua kuwalisha upepo na analysis zake uchwara za pressing na overloading, positional interchange, flexibility na aerial duel, mambo yalivyokua magumu ikabidi liwe linapigwa haram football akahamia kwenye kusifia set pieces na nyinyi chawa zake mkawa mnaimba mapambio humu ya kusifu na kuabudu.
Sijui hata liko wapi sasa hivi Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, Mkurugenzi mkuu wa taasisi kubwa kabisa Africa mashariki na kati
hamis77 Integrated Investment Co. LTD
Sasa JF ilivyo na maajabu sababu watu wana ac zaidi ya moja, inawezekana unayemsifu ndiye unayemponda. Hapo ndio watu nyuma ya pazia wanakuona huna akili mbwatukaji, km wewe bwana flanoDaah leo hii mpaka mkorea anaongea hivi tena kwa uchungu ujue akili zimeanza kurudi mahali pake, Mkorea wewe si ndio ulikua mpiga zumari mkuu wa yule motivational speaker wenu Masingeli?
Lile jamaa lilikua na ushawishi wa hali ya juu sana, alijua kuwalisha upepo na analysis zake uchwara za pressing na overloading, positional interchange, flexibility na aerial duel, mambo yalivyokua magumu ikabidi liwe linapigwa haram football akahamia kwenye kusifia set pieces na nyinyi chawa zake mkawa mnaimba mapambio humu ya kusifu na kuabudu.
Sijui hata liko wapi sasa hivi Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, Mkurugenzi mkuu wa taasisi kubwa kabisa Africa mashariki na kati
hamis77 Integrated Investment Co. LTD