Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa nini tunamtaka Christian Norgaard wa Brentford? Sidhani kama anamkaribia Partey kwa uwezo na ana miaka 31, mwaka mmoja tu chini ya Partey? Si tumbembeleze tu Partey akubali plan yetu kwa mwaka moja au miwili?
Yeah.....ila Arteta chizi tu.
 
Tumemaliza vita ya Iran v Israel sasa tunarudi kuburudisha vichwa na football kidogo.
Nilikuwa na mwanangu Castr na hata masingeli alikuwepo tena upande wa Israel na bado kapoteza na kule pia.

Vipi gunners, naona mbadala wa Octopus ni Norgaard. Je, hiyo hiyo ni like to like replacement au upgrade ya Partey?
Au ni issue ya maslahi ndio imefanya mmehamishia akili wa Nogaard?

Huyu huyu Partey ambaye mliona kama turufu ya kuifunga PSG kwenye mechi ya marudiano ndio leo mnamtupa kifala hivyo?
 
Tumemaliza vita ya Iran v Israel sasa tunarudi kuburudisha vichwa na football kidogo.
Nilikuwa na mwanangu Castr na hata masingeli alikuwepo tena upande wa Israel na bado kapoteza na kule pia.

Vipi gunners, naona mbadala wa Octopus ni Norgaard. Je, hiyo hiyo ni like to like replacement au upgrade ya Partey?
Au ni issue ya maslahi ndio imefanya mmehamishia akili wa Nogaard?

Huyu huyu Partey ambaye mliona kama turufu ya kuifunga PSG kwenye mechi ya marudiano ndio leo mnamtupa kifala hivyo?
Maslahi tu mkuu.
Partey angekubali mkataba mfupi na kutoongezewa mshahara nafikiri tusingemchukua Norgaard.
Hata hivyo, huenda tukawa tumefanya jambo jema kumuachia Partey aondoke, kwa sababu tu ya kukaa kwake nje mara nyingi na majeraha.
 
Tumemaliza vita ya Iran v Israel sasa tunarudi kuburudisha vichwa na football kidogo.
Nilikuwa na mwanangu Castr na hata masingeli alikuwepo tena upande wa Israel na bado kapoteza na kule pia.

Vipi gunners, naona mbadala wa Octopus ni Norgaard. Je, hiyo hiyo ni like to like replacement au upgrade ya Partey?
Au ni issue ya maslahi ndio imefanya mmehamishia akili wa Nogaard?

Huyu huyu Partey ambaye mliona kama turufu ya kuifunga PSG kwenye mechi ya marudiano ndio leo mnamtupa kifala hivyo?
KWanza naomba mrejesho wa hiyo vita mpaka unasema Masingeli kashindwa. Binafsi hua sifuatilii hivi vitu.

Pili naomba wote mjue kwamba Norgaard siyo replacement ya Partey, replacement ya Partey ni Zubimendi. Norgaard ni replacement ya Jorginho.

Unabadilisha swali baada ya kujua hivi au bado unauliza kwanini Norgaard kaja?
 
KWanza naomba mrejesho wa hiyo vita mpaka unasema Masingeli kashindwa. Binafsi hua sifuatilii hivi vitu.

Pili naomba wote mjue kwamba Norgaard siyo replacement ya Partey, replacement ya Partey ni Zubimendi. Norgaard ni replacement ya Jorginho.

Unabadilisha swali baada ya kujua hivi au bado unauliza kwanini Norgaard kaja?
Unajua mimi nilikuwa namuona Zubi kama mbadala wa Jorginho 😀😀? Kijana atakaye cheza kama DLPM ila aliye sharp akichezeshesha timu kwa chini huku akiua mifumo ya mpinzani kuliko Jorginho. Partey kama DM (na DLPM) alikuwa abaki ila imeshindikana, tumeleta DM mwingine ambaye ni Norgaard.

Nafikiri watu wanaangalia suala la Zubi kumreplace Partey kwa sababu nafikiri wangebaki wote, wanaona Zubi atakuwa anaanza zaidi na mimi naona angekuwa anaanza zaidi kwa sababu Arsenal itataka 6 aliye mbunifu zaidi kwenye kuanzisha mashambulizi. Ni kama kusema Jorginho angekuwa mrefu na mwenye nguvu zaidi na press resistant kama Partey, kwa ule ubunifu wake, angekuwa anaanza mbele ya Partey.

Zubi ameletwa kwa lengo hilo sasa.
 
Unajua mimi nilikuwa namuona Zubi kama mbadala wa Jorginho 😀😀? Kijana atakaye cheza kama DLPM ila aliye sharp akichezeshesha timu kwa chini huku akiua mifumo ya mpinzani kuliko Jorginho. Partey kama DM (na DLPM) alikuwa abaki ila imeshindikana, tumeleta DM mwingine ambaye ni Norgaard.

Nafikiri watu wanaangalia suala la Zubi kumreplace Partey kwa sababu nafikiri wangebaki wote, wanaona Zubi atakuwa anaanza zaidi na mimi naona angekuwa anaanza zaidi kwa sababu Arsenal itataka 6 aliye mbunifu zaidi kwenye kuanzisha mashambulizi. Ni kama kusema Jorginho angekuwa mrefu na mwenye nguvu zaidi na press resistant kama Partey, kwa ule ubunifu wake, angekuwa anaanza mbele ya Partey.

Zubi ameletwa kwa lengo hilo sasa.
Ukisema Norgaard ataanza maana yake Rice au Zubimendi ampishe jamaa.

Na wote tunajua haiwezekani.

Norgaard anakuja Emirates atakua analipwa 80K. Kwa umri wake wa 31 huyu siyo mchezaji wa kuanza.
 
Ukisema Norgaard ataanza maana yake Rice au Zubimendi ampishe jamaa.

Na wote tunajua haiwezekani.

Norgaard anakuja Emirates atakua analipwa 80K. Kwa umri wake wa 31 huyu siyo mchezaji wa kuanza.
Dah! kumbe jamaa umri umeenda Sana kiasi hiki🤔
 
KWanza naomba mrejesho wa hiyo vita mpaka unasema Masingeli kashindwa. Binafsi hua sifuatilii hivi vitu.

Pili naomba wote mjue kwamba Norgaard siyo replacement ya Partey, replacement ya Partey ni Zubimendi. Norgaard ni replacement ya Jorginho.

Unabadilisha swali baada ya kujua hivi au bado unauliza kwanini Norgaard kaja?
Kwanza kabisa masingeli alikuwa pro Israel kwenye jukwaa la israel v iran na hata update zake alikuwa analeta zile zinazoipendelea israel akifanya vizuri.

Kwa ninavyjua mimi zubimendi alikuwa kwenye radar za arsenal na mazungumzo ya mkataba mpya kati ya klabu na kambi ya partey yalikuwa yanaendelea vizuri tu.

Labda nitakuwa nimekosea kiuchezaji ila norgaard kaja baada ya mazungumzo kati ya pande mbili kukolapsi.
Najua suala la partey kuondoka ilikuwa limekaribia ila sikutegemea msimu huu wakati mnamalizia a missing part of the puzzle ili mwakani mnyanyue kwapa.
 
Maslahi tu mkuu.
Partey angekubali mkataba mfupi na kutoongezewa mshahara nafikiri tusingemchukua Norgaard.
Hata hivyo, huenda tukawa tumefanya jambo jema kumuachia Partey aondoke, kwa sababu tu ya kukaa kwake nje mara nyingi na majeraha.
Nimeipenda hii mkuu.
lakini mkuu Castr ana maoni tofauti kuhusu replace mengi ya partey kuwa norgaard bali zubimendi.

Kipendele cha maslahi kwa umri wake sidhani kama mna la kumlaumu kwa huduma aliyokwishawapa kipindi chote hicho.
 
Ukisema Norgaard ataanza maana yake Rice au Zubimendi ampishe jamaa.

Na wote tunajua haiwezekani.

Norgaard anakuja Emirates atakua analipwa 80K. Kwa umri wake wa 31 huyu siyo mchezaji wa kuanza.

No, sijasema Norgaard anaanza.

Nimemaanisha Zubi ni mfano wa Jorginho zaidi, yaani DLPM na mpango wa Arsenal ni kuwa na DLPM zaidi ya DM (japo Partey naye namuona ni DLPM) kwa hiyo kama Partey angebaki, Zubi angeanza mbele yake.

Nikasema pia kama Jorginho angekuwa mrefu na mwenye stamina na press resistant kama Partey, basi Jorginho angekuwa anaanza mbele ya Partey kwa sababu ya creativity yake kwenye kuanzisha mashambulizi.

Norgaard amekuja kwa sababu Partey anaondoka ila siyo kivile kama mbadala wake maana Norgaard huenda ni pure DM huku Partey ni DLPM (zaidi ya DM). Ameletwa kwa ajili ya kuingia dk za 70 huko tukiwa tunaongoza na tunataka kulinda ushindi wetu, siyo kuleta ubunifu uwanjani kama Zubi, Jorginho au Partey.

Nafikiri pia sababu kuu ya kumchukua Norgaard ni hiyo ya bei yake kuwa nafuu maana kupata mtu kama Partey lazima pochi iwe nene na kwa sasa hatuna uwezo wa kutumia pesa nyingi kwenye eneo hilo maana tunahitaji washambuliaji matata zaidi. Hivyo tunataka pesa nyingi ielekezwe huko.
 
Nimeipenda hii mkuu.
lakini mkuu Castr ana maoni tofauti kuhusu replace mengi ya partey kuwa norgaard bali zubimendi.

Kipendele cha maslahi kwa umri wake sidhani kama mna la kumlaumu kwa huduma aliyokwishawapa kipindi chote hicho.
Partey kwa kweli mashabiki wengi hatujashuhudia ubora wake vya kutosha kwa sababu alikuwa anashinda hospitali kuliko uwanjani ila alipokuwa uwanjani akiwa fiti, hakukuwa na wakumshinda zaidi ya Rodri.

Ndiyo maana mashabiki wengi wanaona ni poa tu akiondoka japo tunataka abaki.
 
Partey kwa kweli mashabiki wengi hatujashuhudia ubora wake vya kutosha kwa sababu alikuwa anashinda hospitali kuliko uwanjani ila alipokuwa uwanjani akiwa fiti, hakukuwa na wakumshinda zaidi ya Rodri.

Ndiyo maana mashabiki wengi wanaona ni poa tu akiondoka japo tunataka abaki.
Rodri hamuwezi hata kidogo uncle Thom
 
Partey kwenye makaratasi ana miaka 32, sijui ni halisi au kafoji. Kama mnamfuatilia vizuri, mara kadhaa kapata shida kukabiliana na wachezaji wenye pace au wajanjawajanja, hasa kwenye 1 vs 1. Hii inaonesha umri umeanza kumtupa mkono.

Usajili wa Norgad nadhani wameona baada ya miaka miwili, kina Skelly, Nwaneri, Downsman, watakuwa wameshakomaa vya kutosha

Lakini pia hauwezi uka spend hela nyingi kwa midfielder wakati Kuna usajili wa striker unakusubiri
 
Partey kwenye makaratasi ana miaka 32, sijui ni halisi au kafoji. Kama mnamfuatilia vizuri, mara kadhaa kapata shida kukabiliana na wachezaji wenye pace au wajanjawajanja, hasa kwenye 1 vs 1. Hii inaonesha umri umeanza kumtupa mkono.

Usajili wa Norgad nadhani wameona baada ya miaka miwili, kina Skelly, Nwaneri, Downsman, watakuwa wameshakomaa vya kutosha

Lakini pia hauwezi uka spend hela nyingi kwa midfielder wakati Kuna usajili wa striker unakusubiri
partey kafoji, huwa wana ishusha Sasa huyo usi kute 3+
 
1000396205.jpg


Partey
 
Kwanza kabisa masingeli alikuwa pro Israel kwenye jukwaa la israel v iran na hata update zake alikuwa analeta zile zinazoipendelea israel akifanya vizuri.

Kwa ninavyjua mimi zubimendi alikuwa kwenye radar za arsenal na mazungumzo ya mkataba mpya kati ya klabu na kambi ya partey yalikuwa yanaendelea vizuri tu.

Labda nitakuwa nimekosea kiuchezaji ila norgaard kaja baada ya mazungumzo kati ya pande mbili kukolapsi.
Najua suala la partey kuondoka ilikuwa limekaribia ila sikutegemea msimu huu wakati mnamalizia a missing part of the puzzle ili mwakani mnyanyue kwapa.
Binafsi nasema Arsenal ilibidi ibaki na Partey, nimeona mashabiki wa Arsenal wengine wakisema kwamba Liver alimkosa Caicedo akamkosa Lavia na suluhu ikawa kumnunua Endo. Hivyo ni sawa kabisa Arsenal anachofanya.

Kwa swala la Arsenal ni kwamba anakuja back up ambaye anajua yeye ni rotational player na hatozuia hata academy player kumpita huku yeye yupo hapohapo
 
Back
Top Bottom