Newcastle imemtaka Cunha.
Cunha kagoma.
Imemtaka Mbeumo.
Mbeumo kagoma.
Imemtaka Elanga.
Elanga kagoma.
Timu ndogoWanaogopa kukosa number, ama?
Pale C115y labda MarmoushView attachment 3382804
Hawa jamaa wameshushwa daraja. Sheria za matumizi ya fedha si mchezo aisee.
Sasa ndio wakati wa kwenda kuwachukua wachezaji wao wazuri. Kina C115y washachomoka na Cherki kwa bei chee kumbe walikuwa wanajua siri.
Sasa tuwangojee na C115y nao washushwe daraja tukajisombee wachezaji.
Kwamba lile jini tunaliacha tu?Pale C115y labda Marmoush
Anapokea 865K kwa week.Kwamba lile jini tunaliacha tu?
Nionyeshe muafrika aliyecheza kwa mpaka umri wa Modric au Ronaldo au Zlatan.Nogaard over partey? Jamaa ana miaka 31, mnalipa over 10m ? Mbona kama gambling?
Bora partey msingemkata salary, alafu apewe hiyo 2yrs ! Recently injury record yake sio mbaya sana !
Kwa damu ngumu ya kiafrika huyu mgana bado anaweza kudeliver kitu kwa miaka 2 ijayo , hawa wazungu sidhani, huyu mnaemchukua anaweza kufanya vizuri msimu mmoja tu akaporomoka, na sidhan kama mtampa mkataba chini ya 3yrs !
Majirani tupo tunafurahia kwa wenzetu pakiungua !
Sijaelewa kabisa mantiki ya huu usajili.Nogaard over partey? Jamaa ana miaka 31, mnalipa over 10m ? Mbona kama gambling?
Bora partey msingemkata salary, alafu apewe hiyo 2yrs ! Recently injury record yake sio mbaya sana !
Kwa damu ngumu ya kiafrika huyu mgana bado anaweza kudeliver kitu kwa miaka 2 ijayo , hawa wazungu sidhani, huyu mnaemchukua anaweza kufanya vizuri msimu mmoja tu akaporomoka, na sidhan kama mtampa mkataba chini ya 3yrs !
Majirani tupo tunafurahia kwa wenzetu pakiungua !
Eh. Kweli aisee.he is good though
View attachment 3383133
without a proper striker, bado ni kichaka kinacho jifanya msituView attachment 3383253tumeanza balaa letu la kazi za kunyamazisha mashabiki
Logic hapa ni simple tu, mkataba wake una miaka miwili, paka 2027, lengo ni kuipa club pumzi ya kifedha ili kutafuta msaidizi wa Zubimendi baadae.Nogaard over partey? Jamaa ana miaka 31, mnalipa over 10m ? Mbona kama gambling?
Bora partey msingemkata salary, alafu apewe hiyo 2yrs ! Recently injury record yake sio mbaya sana !
Kwa damu ngumu ya kiafrika huyu mgana bado anaweza kudeliver kitu kwa miaka 2 ijayo , hawa wazungu sidhani, huyu mnaemchukua anaweza kufanya vizuri msimu mmoja tu akaporomoka, na sidhan kama mtampa mkataba chini ya 3yrs !
Majirani tupo tunafurahia kwa wenzetu pakiungua !