HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,674
- 7,130
Hawa jamaa wameshushwa daraja. Sheria za matumizi ya fedha si mchezo aisee.
Sasa ndio wakati wa kwenda kuwachukua wachezaji wao wazuri. Kina C115y washachomoka na Cherki kwa bei chee kumbe walikuwa wanajua siri.
Sasa tuwangojee na C115y nao washushwe daraja tukajisombee wachezaji.