Vipi, tumchukue?Kenan Yildiz
Arteta hamtaki.Angalau kuna wadau kwasasa tunaongea lugha Moja.
Mimi kwa eneo la ushambuliaji Huwa naona udhaifu wetu unaanzia kwa ode.ila yote kwa yote we need to keep that beast partey.
Kudus mtu sana huyo, huenda akatupa kitu bora kuliko saka.Nimeangalia YouTube tu ila nafikiri tutafute mabeki wawili - Jorrel Hato wa Ajax na Alexsandro wa Lille. Hato ni mfano wa Timber na Alexsandro ni mfano wa Gabriel na Kiwior na anatumia miguu yote vizuri. Ikiwa tuchukue mmoja tu basi naenda na Alexsandro. Tomiyasu anaumia sana, Tierney ameondoka na Zinchenko huenda akaondoka pia. Hapo tumalizane na upande wa ulinzi.
Mido - Zubi amekuja na Partey akiondoka sifikirii kuleta mtu mwingine katikati japo Jorginho ameondoka pia. Namba 6 Rice na Lewis-Skelly wanaweza kuicheza.
Kule mbele sasa ndipo waje wazee wa kazi, kama ulivyosema. Gyokeres na Sesko wote nawakubali, tuchukue mmoja wapo au wote. Tulete mbadala wa Odegaard pia. Wingers muhimu sana. Upande wa Saka naona tumuendee Kududs. Kushoto sijaona yupi atatufaa zaidi ya Gittens ila huyu naona Chelsea wameshamchukua. Tumehusishwa na Rodrygo ila sidhani kama anataka kuondoka Madrid na bei yake haitakuwa ndogo.
Katika kucheza kwangu mpira, nimeitwa majina ya mafundi wengi, ila kuna jamaa yangu aliniita MTAKATIFU CAZORLA, mbele ya watu nikakataa lile jina.View attachment 3378696
OOOOO SANTI CAZOOOORLAAAAA
Jamaa ana miaka 40.
Kila mtu anaijua historia yake na sisi, ila tuangalie jamaa anavyomalizia historia yake kwenye boli la kulipwa.
Aliamua kurudi kwenye timu yake ya utotoni, Oviedo ambayo ina zaidi ya miaka 20 haijakuwepo La Liga na ilinusurika kufilisika kabisa ila kwa miujiza flani.
Jamaa alitaka kucheza bure kabisa na anatoa misaada na pesa zake kuliko anazopokea (kisheria, ilibidi apokee kile kiwango cha chini kabisa kinachoruhusiwa kisheria maana kisheria ni lazima alipwe) na kweli ameipambania sana timu.
Kifupi, jamaa alianzisha bonge la comeback kwenye play-off ya kuingia La Liga na Oviedo wameingia La Liga kwa msimu ujao. Bonge moja la stori kutoka kwa mchezaji niliyemkubali kuliko wote na mpaka sasa hakuna mchezaji ninayeweza kusema nampenda zaidi ya Santi.
UnyamaVipi kuhusu double pivot ya MLS na Zubimendi?
Ingekuwa mimi hilo jina ningelipokea kwa mbwembwe zote aisee.Katika kucheza kwangu mpira, nimeitwa majina ya mafundi wengi, ila kuna jamaa yangu aliniita MTAKATIFU CAZORLA, mbele ya watu nikakataa lile jina.
Nikamwambia anachokifanya CAZORLA kwa mguu wake mmoja tu wa kulia mie nafanya kwa miguu yote, hapo hatujaongelea mguu wake wa kushoto.
Fundi sana jamaa.
Hao wote hamna kitu. Kiungo tumchukue Morgan wa Aston villa, LW Kuna mtoto wa osasuna tulihusishwaga nae kipindi Fulani, dogo uchezaji wake kama SanchezYule ansu fati uchawi majeruhi tu, lakini ni bora kuliko martineli, jitu kama pogba lingeongeza kitu kwenye kiungo, pogba ni lichezaji haswaa basi tu.
Yule Greenwood bado hawezi kucheza England kwa amani?Hao wote hamna kitu. Kiungo tumchukue Morgan wa Aston villa, LW Kuna mtoto wa osasuna tulihusishwaga nae kipindi Fulani, dogo uchezaji wake kama Sanchez
Yule sijui mkuuYule Greenwood bado hawezi kucheza England kwa amani?
Mie nililikataa kabisa hilo jina, cazorla kale kajamaa kalikuwa fundi saana, matumizi yake ya miguu yote yalikuwa ya hali ya juu.Ingekuwa mimi hilo jina ningelipokea kwa mbwembwe zote aisee.
Mimi jina la utani la mpira niliongezewa 'inho' mwisho wa jina langu ili liwe kama Ronaldinho 2002 na ninapeta nalo hilo jina mtaani mpaka leo hii. Na wala sikuwa fundi kivile.
Wenger alizungua kwingi ila kutuletea Mtakatifu Cazorla, alicheza kama Pele.
Pogba hana kitu, hizi ni dharau nzitoo mnooo.Hao wote hamna kitu. Kiungo tumchukue Morgan wa Aston villa, LW Kuna mtoto wa osasuna tulihusishwaga nae kipindi Fulani, dogo uchezaji wake kama Sanchez
Gyokeres only want Arsenal😂😂Gyokeres kamwambia boss wake, msiponiuza arsenal nakinusha siji mazoezini
Kinachoongelewa hapa ni ku economize ili kutafuta key solutions kwenye matatizo makubwa, Odegaard hata km ana mapungufu lakini hajafikia kuwa tatizo la kutatua kwa mil 150, Our system needs 1v1 specialist kuliko AM, timu yetu inahitaji clinical CF kuliko AM. Sasa kwanini utupe pesa wakati kuna matatizo makubwa ya kuaddress zaidi ya Ø? Ujio wa Zubimendi unapunguza majukumu kwa Odegaard, hivyo hatuwezi kurukia kwenye conclusion kwamba ni lazima atafutwe mbadala wake sasaKwenda na Ode as our AM next season, matokeo yake ni kama yale ya kwenda na Martinelli as LW last season.
LW Martinelli as a starter kwa 24/25, then 25/26 tunatafuta winga.
AM Ode as a starter 25/26, then 26/27 (baada ya kuboronga) tunatafuta tena AM
Matatizo ya timu ya mwaka huu, yanatafutiwa ufumbuzi mwakani![]()
Tupunguze kuwa negative, inawezekana Charlie Patino amefeli lkn how about Saka? Myles Lewis Skelly? hawakutoka Hale end?Mawazo ya kuchekesha, kutoka kwa shabiki wa timu ya kuchekesha.
Liverpool wana Rio Ngumoha, 16y lad with same potential kama Max na Nwaneri, lakini hao hapo wamevuta Wirtz.
United wana Chido Obi, wote tunajua few weeks nyuma walijiingiza kwenye dili la Gyokeres
Pia nikumbushe, Charlie Patino yupo wapi now?
Gyokeres only want Arsenal😂
Kabisa. Basi Wazee tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa Keppa, mashine ya kudaka. Acheni ubahili basiDeal la Kepa kutangazwa wakati wowote. Kama ulimtazama kwenye ligi akiwa na Bournemouth, utaelewa tumelamba turufu