HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
Wacha maneno weweeee. Hapo saizi kina Kolpama wanajiuliza watakuwa wanapita wapi. Halafu tunaleta mmoja kati ya Gyokeres au Sesko...au wote tu, kwani shida iko wapi?...huku akina Badiashile nao wanajiuliza hii Arsenali ni nani wa kuizuia..?...Kidura kinaendelea, muda wa usajili tambo kibaaaooo, msimu uanze muanze kusifia overload na download, mwisho wa msimu holaaa. Mnarudi tena kwnye usajili tambo kama hizi😂😂😂
