Kidura kinaendelea, muda wa usajili tambo kibaaaooo, msimu uanze muanze kusifia overload na download, mwisho wa msimu holaaa. Mnarudi tena kwnye usajili tambo kama hizi😂😂😂Kiungo na ukuta huko hakuna shida kabisa, tena naona cleansheets zitakua zakutosha
Nyumbu, kenge etc watakula kipigo cha mbwa, points 6 with cleansheets
