Msisahau kumchukua na Madueke pls. Atawasaidia sana kwenye mbio za big4.Wacha maneno weweeee. Hapo saizi kina Kolpama wanajiuliza watakuwa wanapita wapi. Halafu tunaleta mmoja kati ya Gyokeres au Sesko...au wote tu, kwani shida iko wapi?...huku akina Badiashile nao wanajiuliza hii Arsenali ni nani wa kuizuia..?...