999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Kibiashara nani hapo kaitia hasara timu yake?Wewe si umezungumzia mafanikio ya Nunez na Isak na mimi nakuuliza mpaka sasa mchezaji wako wa record signing RICE £105ml amewalipa nini mpaka sasa
Kibiashara nani hapo kaitia hasara timu yake?Wewe si umezungumzia mafanikio ya Nunez na Isak na mimi nakuuliza mpaka sasa mchezaji wako wa record signing RICE £105ml amewalipa nini mpaka sasa
Hatakuelewa.Kibiashara nani hapo kaitia hasara timu yake?
Huyu visupageti hamna kitu humo ni sawa tu na saka vyombo vy habar vinawapa vichwa tu. Hapo mbona ndivyo wachezaji wanavyokaba kw wachezaji wote. Si unaona wamekaa mstari kuweka ukuta.Naona yamal kapitia anayopitia saka kila mechi
Akija uingereza atakuwa flop tu
niliwaambia ligi ya spain ni nyepesi
View attachment 3368631
Hivi huyu jamaa yuko wapi sikuhizi 😂😂😂Championsleague trophy
![]()
Manchester City 1
Arsenal 0
Timu ya kisenge hii ya Arsenal for more than 70 years tumeshindwa kubeba Champions![]()
league trophy and then Manchester City kabeba
Jamaa anataka kutuaminisha Saka na Lamine wanakabwa na wachezaji 5 mpaka 6 😂😂Huyu visupageti hamna kitu humo ni sawa tu na saka vyombo vy habar vinawapa vichwa tu. Hapo mbona ndivyo wachezaji wanavyokaba kw wachezaji wote. Si unaona wamekaa mstari kuweka ukuta.
Mashabiki wa Arsenal hawajawahi kuwa na akili hata kidogo.Jamaa anataka kutuaminisha Saka na Lamine wanakabwa na wachezaji 5 mpaka 6 😂😂
Gyokeres analia anaitaka arsenal. Manyumbu yalidhani atawataka wao kwa sababu ya AmorimInasemekana Gyokeres anaipa kipaumbele Arsenal. Sisi bado tunakomaa na Sesko. Gyokeres ameamua atatusikilizia tuone kama tunamchukua na yeye.
Usiwe mjinga timu yeyote inayofanya vizuri ndani ya uwanja na kushinda Mataji haiwezi kupata hasara......Hasara ya timu inakuja pale unapomlipa mshahara mchezaji Average kama ODEGAARD £240k a week kwa miaka 5 ndani ya uwanja Mataji 0.Kibiashara nani hapo kaitia hasara timu yake?
Yaani ni hivi ikiwezekana chukueni wote wawili lakini njia yenu itabaki kuwa ileile Arsenal njia sahihi ya kubeba kombe ni kuiba tuInasemekana Gyokeres anaipa kipaumbele Arsenal. Sisi bado tunakomaa na Sesko. Gyokeres ameamua atatusikilizia tuone kama tunamchukua na yeye.
We haujui mpira Bora ukashabikie mieleka tu, we una kiungo wa kumweka Odergard bench pale kwenu?Usiwe mjinga timu yeyote inayofanya vizuri ndani ya uwanja na kushinda Mataji haiwezi kupata hasara......Hasara ya timu inakuja pale unapomlipa mshahara mchezaji Average kama ODEGAARD £240k a week kwa miaka 5 ndani ya uwanja Mataji 0.
Nimekumbuka kale ka stori ka sungura kashindwa kufikia mkungu wa ndizi anaanza kusema hata hivyo ndizi zenyewe mbichi sizitaki😂😂Nilikuwa najiuliza inakuwaje timu kali kama Arsenal haipo Club World Cup ila baada ya jana nimeona haya mashindano kwa sasa ni upotezaji wa muda tu. Sijui nitasemaje ikitokea na sisi tumealikwa ila kwa sasa sina hamu nayo kabisa.
Hiyo michuano miyeyusho tu mkuu.Nimekumbuka kale ka stori ka sungura kashindwa kufikia mkungu wa ndizi anaanza kusema hata hivyo ndizi zenyewe mbichi sizitaki😂😂
Hii kisaikolojia tunaiita Sungura mentality.
Kweli kabisa mkuu, wacha loosers wacheze hiyo ndondo cup yao, sisi tunacheza zetu emirates cup.Hiyo michuano miyeyusho tu mkuu.
Jamaa ameamua kutupa Taulo ulingoni anachagua upinde vs makombeGyokeres analia anaitaka arsenal. Manyumbu yalidhani atawataka wao kwa sababu ya Amorim
Tupe kigezo kimoja tu cha Arsenal kualikwa kwnye hayo mashindano ya kuwakilisha bara. Huna hata kikombe kimoja cha ulaya.Nilikuwa najiuliza inakuwaje timu kali kama Arsenal haipo Club World Cup ila baada ya jana nimeona haya mashindano kwa sasa ni upotezaji wa muda tu. Sijui nitasemaje ikitokea na sisi tumealikwa ila kwa sasa sina hamu nayo kabisa.
We kweli mbatata, yaani unatamba kabisa na Ordegard??! SeriouslyWe haujui mpira Bora ukashabikie mieleka tu, we una kiungo wa kumweka Odergard bench pale kwenu?
Kwa mfano tukisema tuwaweke sokoni Nunez na Rice nani hapo atauzwa kwa hela nyingi?
Nunez si mnataka mumuuze kwa M40+, tena hiyo yenyewe watu wanasita
Taja mchezaji wako wa kumweka nje Odegard. Unadhani Madrid wajinga kumchukua mtoto ana miaka 15 sijui 16?We kweli mbatata, yaani unatamba kabisa na Ordegard??! Seriously