Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenyani fanyeni mambo mengine Rodrygo hauzwi Alonso kamng'ang'ania Bengali babaa
 
🚨 BREAKING:

Manchester United will play against Arsenal, Manchester City and Chelsea in the first 5 Match Days of the new Premier League season.

[@SamC_reports]

Naona jinsi arteta out zitavyowai msimu huu.
 
🚨 BREAKING:

Manchester United will play against Arsenal, Manchester City and Chelsea in the first 5 Match Days of the new Premier League season.

[@SamC_reports]

Naona jinsi arteta out zitavyowai msimu huu.
Points 7 za uhakika
 
1750240288203.png


Carlos Cuesta, assistant coach wetu, anaeleka Parma, Italia, kuwa kocha mkuu. Kijana ana miaka 29. Nafikiri msimu uliopita Norwich City walimtaka ila akaamua kungeojea kazi kubwa zaidi ya Serie A. Tunamtakia kila la heri. Arsenal inazidi kuwa kiwanda cha vipaji, tutawafikia C115y soon.
 
Nawaonea huruma mnakutana na United iliyodhamiria kuinuka toka matopeni msimu ujao.

Phase 6 uhakika kwa Arteta
Wewe humu siyo mgeni.

Msimamo wangu ninapokutana na nyumbu au kenge unaujua. Hata kama tutachezesha under 5.

Sasa kasome magazeti yameandikaje juu ya hiyo mechi. Ukipata hata moja linasema Arsenal ana kazi ngumu rudi nikutumie buku 2 ujiunge MB
 
Leteni pesa hizo tuwaachie fundi wa mali mzee wa kucut in na kufunga mashuti kwa guu la kushoto mithiri ya arjen robben..na Msimu Jana alifunga magoli mengi kuliko martinelli...leteni pesa hyo acheni ubahili😁
1000346439.jpg
 
Back
Top Bottom