Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Utaelewa vipi na una miaka 21 bila EPL huwezi kuelewa, leicester , liver, man city na chelsea fans wameelewa sidhani kama kuna false hopers yeyote ameelewa .
Embu ulizaneni nyinyi kwa nyinyi kwanza kama mnaelewa alichoandika bard….. đŸ˜‚đŸ˜‚
Kasoma kiarsenal ndio maana hajaelewa.
 
Gyokeres kufunga kwake sio shida, sesko ni kai mwingine
Angalau Sesko anaweza kugeuka na mpira na kupiga vyenga na kujitengenezea space. Pia Sesko anapenda kusaka goli. Kai anarudisha tu mipira nyuma hovyo. Ila namtaka Sesko ile tuendelee kuwachapa maadui kwenye set pieces huku jamaa bado ana hatari kwenye open play.
 
Angalau Sesko anaweza kugeuka na mpira na kupiga vyenga na kujitengenezea space. Pia Sesko anapenda kusaka goli. Kai anarudisha tu mipira nyuma hovyo. Ila namtaka Sesko ile tuendelee kuwachapa maadui kwenye set pieces huku jamaa bado ana hatari kwenye open play.
Kumbe mna lijua hili kuwa Kai ni liability ehh?, hayo masuala ya chenga sijui space achaneni nayo.

We serious need a striker who can score goals. Imagine having a man like gyokeres 30+ goals sio issue.

Sesko hizo sijui set pieces ni mbwembwe, wata piga hata kina rice.
 
Utaelewa vipi na una miaka 21 bila EPL huwezi kuelewa, leicester , liver, man city na chelsea fans wameelewa sidhani kama kuna false hopers yeyote ameelewa .
Embu ulizaneni nyinyi kwa nyinyi kwanza kama mnaelewa alichoandika bard….. đŸ˜‚đŸ˜‚
đŸ˜€đŸ˜€đŸ˜€đŸ˜€ Labyrinth huyo kama kawa đŸ˜€đŸ˜€đŸ˜€. Hata wewe utakuwa umemuelewa Castr huenda anamaanisha pesa zilizotumiwa kwa Darwin ukiziangalia na mchango wake kwenye timu ndani ya huo muda, inaonekana Liverpool walipigwa.

Je, ukitumia timu yako ya Newcastle mijusi milia, mna Isak wa 80m, wao Livakuku wana Darwin wa 100m. Newcastle ina Carabao, Liverpool ina Premier League.

Utasema Darwin aliyechangia kidogo mafanikio ya Liverpool ni muhimu kuliko Isak aliyechangia sana mafanikio ya Newcastle?
 
Kumbe mna lijua hili kuwa Kai ni liability ehh?, hayo masuala ya chenga sijui space achaneni nayo.

We serious need a striker who can score goals. Imagine having a man like gyokeres 30+ goals sio issue.

Sesko hizo sijui set pieces ni mbwembwe, wata piga hata kina rice.
Sesko pia akicheza kama striker labda anaweza kufikia hayo. Kumbuka Sesko msimu jana alikuwa anacheza nyuma ya Openda na ndiye anarudi chini zaidi na kumtengenezea nafasi Openda.
 
Sesko pia akicheza kama striker labda anaweza kufikia hayo. Kumbuka Sesko msimu jana alikuwa anacheza nyuma ya Openda na ndiye anarudi chini zaidi na kumtengenezea nafasi Openda.
Narudia kusema hii ni kamari itakayo sumbua baadae,huyo openda si ali maliza na goli 9?

Sesko 13, assist5, arrghh arteta hii plan ya session ya 4 ujueđŸ¤£đŸ˜†
 
Labyrinth huyo kama kawa . Hata wewe utakuwa umemuelewa Castr huenda anamaanisha pesa zilizotumiwa kwa Darwin ukiziangalia na mchango wake kwenye timu ndani ya huo muda, inaonekana Liverpool walipigwa.

Je, ukitumia timu yako ya Newcastle mijusi milia, mna Isak wa 80m, wao Livakuku wana Darwin wa 100m. Newcastle ina Carabao, Liverpool ina Premier League.

Utasema Darwin aliyechangia kidogo mafanikio ya Liverpool ni muhimu kuliko Isak aliyechangia sana mafanikio ya Newcastle?
Mbona mnatoa mifano ya wachezaji wa timu nyingune Arsenal hamna mchezaji wa £100ml nyie kwenye squad yenu amesha walipa nini mpaka sasa ?? Mmeshashinda nae mataji mangapi ??
 
Mbona mnatoa mifano ya wachezaji wa timu nyingune Arsenal hamna mchezaji wa £100ml nyie kwenye squad yenu amesha walipa nini mpaka sasa ?? Mmeshashinda nae mataji mangapi ??
Anacheza nafasi sawa na Darwin na Isak?
 
Aseno tuko vizuri, mshambuliaji mzuri sn dudukwe kajiungaaaa
1000040873.jpg
 
Wewe si umezungumzia mafanikio ya Nunez na Isak na mimi nakuuliza mpaka sasa mchezaji wako wa record signing RICE £105ml amewalipa nini mpaka sasa
Mbona ni wazi kabisa kuwa nimewalinganisha kwa kazi waliyosajiliwa kufanya kwenye timu zao, yaani strikers waliyoletwa kufunga magoli. Rice alinunuliwa kama defensive midfielder. Je uwepo wa Rice kwenye upande wa defensive record ya Arsenal unaona umekuwa wa mafanikio ama hasara kwetu? Na tumemtumia sana tu kama AM zaidi ya DM, kama vile tu tulivyomtumia Havertz zaidi kama striker japo tulimleta kama AM.
 
Kai Havertz miilipa €75ml kwa Chelsea hata kombe la Carabao ameshawapa mpaka sasa amewapa mafanikio gani Arsenal,Squad yenu ina wachezaji Magarasa kibao tu kama mifano rahisi.
Yes. Hata sisi mashabiki wa Arsenal baadhi yetu tunaona Havertz siyo mzuri kwetu. Ila, linganisha mchango wa magoli wa Darwin kwa Liverpool msimu huu na wa Havertz kwa Arsenal. Darwin 100m (tunajua pia hii 100m haitafika kwa sababu ya vipengele ambavyo Darwin hajavitimiza), Kai 65m.
 
Naona yamal kapitia anayopitia saka kila mechi
Akija uingereza atakuwa flop tu
niliwaambia ligi ya spain ni nyepesi
FB_IMG_1749923198202.jpg
 
Back
Top Bottom