Diaby amerudi baada ya miezi kadhaa out
Kimenuka sasa.
Mda wa kutosha wamtoe Arshavin wamlete Gervinho tutafute ushindi.
mwanangu leo kimenuka tumetoa sare na fulham,labda uchovu wa uefa championsKatika kila timu lazima awepo mtu anayeibeba kwa kufunga ama kutoa pasi za maana. Tunapomsifia Van Persie ni haki yetu Gunners sasa wengine wanabonga kiiivyooo. Wafunge midomo bana na sisi mashabiki tunamwombea asiumie ili mwisho wa msimu awe ametimiza ndoto zke na ajulikane kuwa ni mkareeee. Misimu yaliyopita RVP alikuwa akifikisha mechi 10 bila kuumia na kukaa nje msimu mzima ulikuwa bahati. Go Gunners
Haikuwa lengo letu lakini tukubali matokeo ya mchezo.
mwanangu leo kimenuka tumetoa sare na fulham,labda uchovu wa uefa champions
Timu iko vizuri.usiogope mkuu kwani pamoja na uchovu tumeonesha kuwa tupo juu na kuleta changamoto na siyo kila siku kunalingana...haikuwa siku yetu
Ni aje wajumbe Carling cup hiyo washika bunduki leo wapo uwanjani VS Man city
Line Up
Arsenal: Fabianski, Djourou, Squillaci, Koscielny, Miquel, Frimpong, Coquelin, Benayoun, Oxlade-Chamberlain, Park, Chamakh. Subs: Mannone, Yennaris, Vermaelen, Eastmond, Ozyakup, Gervinho, Arshavin. Subs: Mannone, Yennaris, Vermaelen, Eastmond, Ozyakup, Gervinho, Arshavin.
Man City: Pantilimon, Onuoha, K Toure, Savic, Zabaleta, De Jong, Hargreaves, Johnson, Nasri, Kolarov, Dzeko
Good luck the gunners
What a play was that??? So nice!! Cant call it a miss though!!!!