Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Achana naye huyo. Mapenzi na Arsenal yamemzidi kiasi kwamba hata Chelsea walioshinda Conference league, kitu ambacho sisi hata kushiriki hatukuweza kwa sababu ya ubora wetu, anaona ni mafanikio kuliko Arsenal. Yeye anaona Newcastle kubeba Carabao mwaka huu ni mafanikio kuliko Arsenal tangu 2020. Pia mpe tu muda Labyrinth 84 atarudi tu Arsenal akishaona jinsi tunavyojichotea vikombe hivi punde.
Ubora gani mliokua nao? Kumfunga madrid au? Ndani ya hizo phase zenu mmezidiwa mafanikio mpk na Westham hlf mnasema ni bora.
 
1748477940455.png

Wenzie wa London na makombe yao.
Yeye yupo na kiwigi chake.
Katapeli haka kajamaa.
 
Timu bora zote zinashika nafasi ya 4, 15 na 17. Isiyo bora peke yake ndiyo inashika nafasi ya 2.

Zungusha bangi tuendelee
Ubora unapimwa kwa makombe mjomba, haupimwi kwa nafasi.ndio mana mwanzo wa msimu mnaongozaga ligi hata hamjacheza. Hivyo kwa msimu huu Crystal Palace ni bora kuliko Arsenal.

Huna hata medali halafu unajiita bora, wa wapi wewe?
 
Ubora unapimwa kwa makombe mjomba, haupimwi kwa nafasi.ndio mana mwanzo wa msimu mnaongozaga ligi hata hamjacheza. Hivyo kwa msimu huu Crystal Palace ni bora kuliko Arsenal.

Huna hata medali halafu unajiita bora, wa wapi wewe?
Nakubaliana na wewe. Ndiyo sababu Arsenal women ina msimu bora kuliko timu zote za ligi ya Uingereza za wanaume.
 
Dah, haya Arteta,lakini binafsi Sesko is not my choice. Gyokeres anajua kuitumikia namba 9
Mimi naona wote tu wangefaa.
Pia inawezekana Arteta anamtaka Sesko kwa sababu ya umri wake na uwezo wake wa kuzurura uwanjani hivyo anakuwa mgumu kwa mabeki kumfuata fuata bila hofu ya kuacha mapengo nyuma. Jamaa pia ni mchapakazi na anaweza kucheza mbele kama target man na pia striker wa chini kwenye mfumo wa strikers wawili. Nasikia hivi ndivyo alivyokuwa akitumika msimu huu nyuma ya Openda, hivyo anauwezo wa kutengeneza nafasi pia. Ananikumbusha Adebayor.
 
Yes kasoro liva, chelsea, Crystal Palace na Tott. Wengine wote mimavi tu.
Sasa UEFA italinganishwa na hayo makombe mengine? Kwamba unataka kusema kombe la liver linalingana na la Crystal palace?
 
Sasa UEFA italinganishwa na hayo makombe mengine? Kwamba unataka kusema kombe la liver linalingana na la Crystal palace?
Hatulinganishi, nimekutajia timu zilizofanikiwa msimu huu. Hata simba au yanga wakibeba kombe, wanakuwa na mafanikio kuliko nyie wazee wa phase.
 
Hatulinganishi, nimekutajia timu zilizofanikiwa msimu huu. Hata simba au yanga wakibeba kombe, wanakuwa na mafanikio kuliko nyie wazee wa phase.
Kulinganisha muhimu si ndiyo maana nyinyi mnalinganisha au kuna mwisho wa kulinganisha?
 
Ili upate faraja inabidi ujifananishe na aliyekuzidi ubora halafu unajifanya umemzidi.

Ni hulka ya kibinadamu.
 
Back
Top Bottom