Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilikua X nafikiri wiki 2 zimepita nikakuta page moja inafananisha msimu wa city na wa Arsenal ikaonyesha city na ubovu wake ina trophy ambayo ni community shield na inawania nafasi ya pili ya ligi.

Muda hii page inaandika hivi Arsenal tulikua tunaongozwa mbili bila na liver. Na netizens wakaipokea habari wakachambua ubovu wa msimu wa Arsenal na kuisifu city kwamba pamoja na msimu mbovu ila city ana kombe.

Baada ya game kuisha Arsenal akasuluhu kuna shabiki wa Arsenal akauliza kwanini Arsenal inasemwa haijashinda kombe kwa miaka mitano nyuma wakati kombe hilohilo kwa City litahesabiwa na Klopp aliagwa huku likitajwa. Na hata ilivyoonekana Arsenal anaweza kukosa nafasi ya 2 ikaonekana ni failing ila kwa city ni success?

Likaja jibu kwamba "Because our floor is their ceiling"
 
Nilikua X nafikiri wiki 2 zimepita nikakuta page moja inafananisha msimu wa city na wa Arsenal ikaonyesha city na ubovu wake ina trophy ambayo ni community shield na inawania nafasi ya pili ya ligi.

Muda hii page inaandika hivi Arsenal tulikua tunaongozwa mbili bila na liver. Na netizens wakaipokea habari wakachambua ubovu wa msimu wa Arsenal na kuisifu city kwamba pamoja na msimu mbovu ila city ana kombe.

Baada ya game kuisha Arsenal akasuluhu kuna shabiki wa Arsenal akauliza kwanini Arsenal inasemwa haijashinda kombe kwa miaka mitano nyuma wakati kombe hilohilo kwa City litahesabiwa na Klopp aliagwa huku likitajwa. Na hata ilivyoonekana Arsenal anaweza kukosa nafasi ya 2 ikaonekana ni failing ila kwa city ni success?

Likaja jibu kwamba "Because our floor is their ceiling"
"Our floor is their ceiling" 😂😂😂😂😂😂

IMG-20250525-WA0003.jpg
 
Wazee wa kutukana mamba kabla hamjavuka mto Mkohoti na Labyrinth 84 leo naona mmoja wenu au wote wawili mkiingia Europa League.

Angalau Herzogg ana uhakika kidogo wa kuingia UCL.

Ila pia yote kwa yote, natambua kuwa mnapaswa kupongezwa maana nyie mmepanda kutoka msimu uliopita huku akina Herzogg na sisi tumeshuka msimu huu. Sisi kwa viwango vyetu, huu msimu umekuwa mbovu kwetu lakini nyie kwa viwango vyenu, hasa hawa mijusi milia, huu ni msimu wa mafanikio katika historia ya timu yenu. Hongereni.

Tukutane tena msimu ujao muendelee kuchangia points sita sita katika kampeni yetu ya kuchukua ubingwa na makombe tele.
 
By now ni sahihi kusema Arsenal women ina msimu bora kuliko timu zote za ligi ya Uingereza kwa ligi zote za wanaume na wanawake
Akili kubwa sana hii. Umetumia mantiki ile ile wanayotumia Manyumbu, kenge, kuku na mijusi wanayotumia kupima mafanikio, lakini hapa hawatakuelewa.
 
Matokeo ninayotamani ni villa ashinde halafu hao waliobaki wadrop point au wapigwe kabisa.

Milio itakayosikika hapo siyo poa
Acha roho mbaya mkuu, mbona wakati mnahangaika kutafuta team mtakayocheza nayo final kati ya Inter na barca tulihangaika wote kuwatafutia team nzuriii bila kujali kuwa mpo robo final 😂😂
 
Nyumbu hii game hana faida nayo. Atapelekewa moto hadi basi.

Kwamba Hakika Ruben amewaambia wachezaji yeye bado ni kocha wa nyumbu na amemwambia Garnacho atafute timu.

Kuna website ya kipuuzi inaitwa transferfeed, baada ya hii ripoti tu tayari wakamlink Garnacho na Arsenal. Nikasoma walichoandika, kwamba "Arsenal might be interested" hiki walichoandika ndiyo mfano wa ripoti za siku hizi yaani mtu akihisi tu mchezaji fulani anaondoka anamlink na Arsenal that's it.

Hii ilisababisha Tajiri Miluzi apotezwe kuwanunua wakina Nkunku na Madueke
 
Wazee wa kutukana mamba kabla hamjavuka mto Mkohoti na Labyrinth 84 leo naona mmoja wenu au wote wawili mkiingia Europa League.

Angalau Herzogg ana uhakika kidogo wa kuingia UCL.

Ila pia yote kwa yote, natambua kuwa mnapaswa kupongezwa maana nyie mmepanda kutoka msimu uliopita huku akina Herzogg na sisi tumeshuka msimu huu. Sisi kwa viwango vyetu, huu msimu umekuwa mbovu kwetu lakini nyie kwa viwango vyenu, hasa hawa mijusi milia, huu ni msimu wa mafanikio katika historia ya timu yenu. Hongereni.

Tukutane tena msimu ujao muendelee kuchangia points sita sita katika kampeni yetu ya kuchukua ubingwa na makombe tele.
Usitegemee msimamo kama utabadilika, ni hivyo hivyo kama ulivyo.
 
Back
Top Bottom