Arsenal (The Gunners) | Special Thread

FT. Arsenal 4 - 3 Manchester United.

Arsenal sasa wanasubiri fainali ya Champions League na Barcelona huku Manchester United wakisubiri fainali ya FA cup na Chelsea.
 


ALESSIA RUSSO
2024/2025 WSL GOLDEN BOOT WINNER (tied with Khadija Shaw wa Man City)
PFA Writers Player of the Year.

Hongera kwake.

Mambo yakiendelea hivi wanawake wetu nao wataanza kuwaletea Chelsea ushindani wa kweli.

Timu ya wanaume nayo iache kuzingua ianze kubeba makombe kabla hatujazeeka.
 
Nah, awe converted kua LB. Atateseka na pace ila afanyie kazi technic
Awe LB ambaye hapandi juu, yaani anakuwa anapeleka yale mapass yake akiwa nyuma? Tukishambulia yeye na Gabriel na Saliba wanaunda back 3, Gabriel kati huku Saliba anasogea kulia?
 
False hope kwenye peak 😂😂 unasema timu ya England ilichukua ubingwa ni sahihi ila umesahau tu Arsenal sio team ni kikundi cha matumaini na vichekesho
 
Vyanzo mbali mbali plus super computer wanaipa arsenal asilimia kubwa ya kubeba UEFA
Liverpunda acha achukue hicho ki-EPL, sisi tunalibeba li-UEFA

NB
Bilbao anawapiga home and away
Kesho tutakua na kikao usikose arteta atakuepo umuelezee ni super computer ya wapi na ni UEFA hipi mnabeba.
Yaani carabao tu limewashinda ndo mje kubeba kombe zito kama UEFA , nan pale anaweza kunyanyua uzito wa UEFA trophy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…