Oya Flano wanawake wetu wanawaongoza wanawake wenu kule. Mechi ya mwisho hii. Tukishinda tunaingia group Champions League bila kupambana kwenye play-offs.Sema fuentte unawajua vizuri mashabiki wa Shenali utafikiri wewe ndio baba yao mzazi. View attachment 3330064
Baada ya kumkosa amekua zubedaUnataka ubingwa una sajili Zubeda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Je, tuwape?Marseille wanamtaka Kiwior
Nah, awe converted kua LB. Atateseka na pace ila afanyie kazi technicJe, tuwape?
Awe LB ambaye hapandi juu, yaani anakuwa anapeleka yale mapass yake akiwa nyuma? Tukishambulia yeye na Gabriel na Saliba wanaunda back 3, Gabriel kati huku Saliba anasogea kulia?Nah, awe converted kua LB. Atateseka na pace ila afanyie kazi technic
False hope kwenye peak 😂😂 unasema timu ya England ilichukua ubingwa ni sahihi ila umesahau tu Arsenal sio team ni kikundi cha matumaini na vichekeshoPapa John Paul I alifariki dunia mwaka 1978, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.
Mwaka 2005 Papa John Paul II alifariki dunia, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.
Mwaka 2022 Papa Benedict XVI alifariki dunia, timu ya England ikabeba kombe la UEFA.
Mwaka huu Papa Francis amefariki dunia.
Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
C&P
Kama wanaweka £50M+ aende tuNah, awe converted kua LB. Atateseka na pace ila afanyie kazi technic
Kesho tutakua na kikao usikose arteta atakuepo umuelezee ni super computer ya wapi na ni UEFA hipi mnabeba.Vyanzo mbali mbali plus super computer wanaipa arsenal asilimia kubwa ya kubeba UEFA
Liverpunda acha achukue hicho ki-EPL, sisi tunalibeba li-UEFA
NB
Bilbao anawapiga home and away
YeahAwe LB ambaye hapandi juu, yaani anakuwa anapeleka yale mapass yake akiwa nyuma? Tukishambulia yeye na Gabriel na Saliba wanaunda back 3, Gabriel kati huku Saliba anasogea kulia?
Hii amount inatamanishaKama wanaweka £50M+ aende tu
Mchawi ela tu apo, kama hawaweki pesa ya maana bora abaki tuHii amount inatamanisha