Mkorea ulisema risiti zako tuzitunze tukutane mwakani mwezi May na Mwezi May ndio huu MkuuHaina shida hizo risiti wewe zitunze, ila tukutane mwakani may
Miaka mingi tulikua tuna-struggle mwisho ila msimu huu tuna-struggle mwanzoni.
Siongei sana
Sawa Charlie chaplin.Sasa new ST, LW, AM maybe na Zubimendi, kwanza kama tunamsajili zubi maanake total football ile msimu wa kwanza wa Zinchenko inarudi, kama Zubi anamreplace partey maanake hata style of play inachange, sio tena physical, ni technical tu sasa kina Newcastle hatushindani tena manguvu na duels off the park ni kuutafuta chumba kwa chumba, passer zubi, release runners kina maybe Williams na new ST ambaye naamini atakuwa outlet km Haaland sasa kwanini usienjoy soka, ukumbuke km Zubi ni dm maanake we control the game with the ball, yani mwingi paka unamwagika na goli ni nyingi cuz we will have a top striker, the future is exciting, in Arteta we trust. #Coyg.
Kwahiyo hizo injuries ilipata timu yenu tu?Unajua kelele nyingi humu ni kwamba siku hizi timu zao wamesahau kuona zinashinda against us, been so good nowadays even with big number of injuries and redcards, sasa timu ya hivi lazima itengeneze fear factor kwa wapinzani, kilichobaki ni ku deliver big trophies tu, kitu ambacho nakiona next season
Sasa hasira nitolee wapi wakati nina carabao cup😅Hasira unazo wewe. Unataka utumie watu kama sehemu ya kukupunguzia stress.
Unaquote kila mtu unatafuta relief.
You are too dependent on others unaamini unahitaji validation kutoka kwa wengine.
Hii tendency inaonekana sana kwa watu waliolelewa na mzazi mmoja. So sorry nigga
Hongera kwa Carabao cup. Tukutane CL mwakani.Sasa hasira nitolee wapi wakati nina carabao cup😅
Relief ipi ivi kati ya false hoper na mimi geordie nan wakutafuta relief
Maisha ya nadharia yatawaua false hopers ..yaani una nadharia ya mimi kulelewa na mzazi mmoja tena kama nadharia ya fainali mnacheza na barcelona😂😂😂😂
Mkuu hapo chini umezingua na umepanic.Hasira unazo wewe. Unataka utumie watu kama sehemu ya kukupunguzia stress.
Unaquote kila mtu unatafuta relief.
You are too dependent on others unaamini unahitaji validation kutoka kwa wengine.
Hii tendency inaonekana sana kwa watu waliolelewa na mzazi mmoja. So sorry nigga
Jama anagawa spana sio poa.Daah ila we jamaa Arsenyo wamekukosea nini?
Unawaandama sana.
Chief, hua unanijudge nasema umekosea. Mimi kazi yangu inahusisha kujudge character pia, na nilichofanya hapo ni uzoefu wa kazi yangu.Mkuu hapo chini umezingua na umepanic.
Watu wamelelewa na wazazi wa wili na bado wakawa mashoga.
Arsenal Bingwa ??? Labda ubingwa wa Emirates cup kombe ambalo hata mkifungwa mechi zote bado mnapewa.Arsenal bingwa
Mkuu Castr ulifika mpaka hatua ukawaita watu Majinga Majinga kwa sabahu ya kuwafunga R.Madrid ukaamini kabisa una team bora .Yale majinga majinga yako wapi
Basi ligi ya EPL imejiishia kama timu worse inashika nafasi ya pili.Mkuu Castr ulifika mpaka hatua ukawaita watu Majinga Majinga kwa sabahu ya kuwafunga R.Madrid ukaamini kabisa una team bora .