Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arse8 mje sasa leo muone jinsi ya kuingia fainali za Ulaya. Zingatia aggregate.
 
Walivyotolewa Carabao Cup "Tuna focus kwenye FA na ligi"

Walivyotolewa FA "Tuna focus kwenye ligi"

Walivyotolewa kwenye mbio za ubingwa "Tuna kitu kikubwa mbele yetu ambacho ni muhimu zaidi ya ligi .....Champions League"

Wametolewa na huko saizi utawasikia wakisema "Sisi tulihitaji tu kuwa top 4"
 
😂🤣
😂🤣 Mpira hauko hivyo akikosea tunamchana, akipatia atasifiwa, alichokifanya hakijatosha..

Kwahiyo we ukinunua nguo siku moja ndio inakuwa kauka nikuvae, hununui tena😂🤣
Khaa😄😆
Mnataka mumvunje miguu Saka wa watu
Kwani mfungaji alikuwa pekeyake?
 
Jumapili tutakuwa na kikao kizito humu ndani wote muwepo ili mtuambie fainali ipi mlikua mnaongelea 😂😂😂😂😂.
False hopes at the final stage yote yale ma free kick ya rice sijuiii psg tulimfunga mara ooh fainali watupe barca 😂😂😂😂
Kinachofurahisha mlikua mnaongelea final
 
nasikitika kusema ya kwamba Mikel Arteta bado hajapitia hata nusu ya machungu aliyopitia mwamba wetu Jurgen Klopp
 
PSG wanatisha.

Mwaka huu wakilibeba hili kombe sitashangaa.

Arsenal mlikuwa outclassed kabisa.
Labda mapenzi yanafanya niwe na macho ya bandia sioni vizuri.

Binafsi nimeona tumezidiwa na timu yenye best players haswa mbele. Outclassed ni City ilipopigwa 5 na Arsenal au Arsenal ilivyopigaa 8 na nyumbu.

Yaani kila ukipima unaona mnachokosa ni Ribery na Lewandowski ila kila kitu kilikua sawa.
 
Nafikiri ni kombe la dunia la SA ndiyo Spain ilichukua kombe huku ina viungo watupu bila ST.

Fools would just pass the ball around until they got closer to the goalie, kept passing till the ball got itself into a net
 
Huyu PSG katoa timu 3 za Uingereza. Mojawapo ni Loserfools, mabingwa wa PGMOL, PSG hajaangalia sijui wewe hua hautembei peke yako au ni mshika bunduki ni fimbo tu zimetembea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…