:biggrin:Tumetoa tena sumu kali mno kwa wajerumani Viper, Greece tunaenda na timu ya Carling Cup, Good nite as well Arsenal!
Together we will always stand Viper!
Alex Song leo ni man of the match kwangu mimi na RVP kama kawaida yake yeye na wavu ni kama maji ya mto na kufuata mkondo.
Confidence inazidi kuongezeka mechi hadi mechi.
Tunakwenda last 16 katika Champions league kwa miaka 12 mfululizo, sio mchezo.
Together we stand.
Na kiwango chake chenyewe kimeshuka mno ghafla, lakini hajali hilo yeye anajali bank balance hata akisugua benchi poa. Huku kwetu alikuwa akicheza na uhuru na spirit huku kwetu ni tofauti na kule kwa Mancini, kule ni kama jeshini tu. Namtabiria season 2 ataanza kutafuta kilabu kipya kama Adebayor.
Huyu R.V.P anawafanya watu wa R.I.P,kwa kweli huyu bwana wasipomuumiza/asipoumia tu kwa msimu mzima,record atakayoweka naona mpaka aibu kusema.Huyu january tutamtafutia striker mwenza ili angalau awe anapumzika.
Huyu R.V.P anawafanya watu wa R.I.P,kwa kweli huyu bwana wasipomuumiza/asipoumia tu kwa msimu mzima,record atakayoweka naona mpaka aibu kusema.Huyu january tutamtafutia striker mwenza ili angalau awe anapumzika.