Leo hata kuangalia mechi sikua na huo mpango ila Fotmob nimesubscribe timu 3. Taifa Stars, Arsenal na Sheffield.
So notifications za hizi timu hua zinakuja tu. Ikanialert in 15 minutes game inaanza mi nikawa nacheki game ya Lecce na Napoli. Hii mechi kwetu haina faida, mshindi kashajulikana, mtu wa kwanza mpaka wa tano anaenda CL so ukimaliza second na Forest akamaliza 5th wote mnakutana CL.
Nikapata alert Rice kascore.
Nikapata alert Bournemouth kascore.
Nikapata alert Bournemouth kascore ila VAR inacheki goli.
Jumanne si tutabanduliwa kama ndiyo hivi