Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chawa katika ubora wake wa false hope, ila mkorea hizi sio akili zako, itakua Masingeli amekuandikia halafu kakwambia upost.
Halafu hapo we itaje tu Liverpool moja kwa moja, achana na kujifichia kwenye timu ya England ili kujilisha matumaini hewa kua kifo cha Papa ndio kafara ya Arsenyau kubeba Uefa msimu huu.
Hii issue ya kifo cha Papa hua inakuja na special offer kwa Liverpool, na msimu huu imeenda kwa Liverpool kubeba Epl, nyie kima hamhusiki kwa lolote na huu msiba wa dunia, acheni kujipa kipaumbele katika mambo yasiyowahusuView attachment 3313738
Vyanzo mbali mbali plus super computer wanaipa arsenal asilimia kubwa ya kubeba UEFA
Liverpunda acha achukue hicho ki-EPL, sisi tunalibeba li-UEFA

NB
Bilbao anawapiga home and away
 
Online huko fans are mad kwakua Loserfools fans wanapost kutudhihaki kwamba tutawafanyia ile parade kumkaribisha bingwa.

NIliwahi kufanya kazi na wachina nilikua ni Team Leader wa kwanza kati ya waliopo. Nilikua na success kwenye kitengo changu kubwa tu, kisha akaja TL mpya in a month akawa amenizidi performance.

Ile ofisi ilikua na utaratibu wa kuchukua last performers na kuwataka watengeneze action plan kuonyesha wataimprove vipi, waonyeshe challenges na weakness yao.

Siku moja kabla ya hawa watu wa mwisho kufanya hivi bosi (Mchina) akaniita. Akaniambia anataka mimi ndiyo niandae hizo zote na anaamua kwamba kwa mwezi huo mimi ndiye poor performer. Akaniambia kwao China wana hili neno "wò xīn cháng dǎn" (nalikumbuka hadi leo) linalomaanisha mtu anatakiwa kudhalilishwa ili afanikiwe kwahiyo anaamini mimi kua presented kama poor performer considering I have always been successful na ni TL wa mwanzo kabisa itanifanya nifocus zaidi.

Notice kwamba aliyenizidi aliniacha points nne tu but jamaa akasema nastahili hii humiliation.

Am hereby saying Arsenal tunastahili hiyo humiliation, PGMOL is corrupt? We have injuries?

So what?

Wakati hayo yanatokea what did we do?

Tulisajili dirisha lilipofunguliwa January?

Tuliscore zaidi ili hata PGMOL wakose pa kutucorner?

Tulipunguza sideway passes na back passes na kufocus kwenda mbele zaidi?

Tuliacha kumuweka Partey RB?

Waweza uliza mbona Loserfools ilibidi wagome kuchezeshwa na certain referee?

Bitch fvck you.

The question is "WHAT DID WE DO?" Siyo "What did Loserfools do?"

So, yeah. Tunastahili hii humiliation. Na next time tukirudia upuuzi huu huu acha tuendelee kuwafanyia parade wenzetu mpaka tutakapoona it's enough we have to take action.

By the way, after the presentation I turned around the whole performance.
 
Online huko fans are mad kwakua Loserfools fans wanapost kutudhihaki kwamba tutawafanyia ile parade kumkaribisha bingwa.

NIliwahi kufanya kazi na wachina nilikua ni Team Leader wa kwanza kati ya waliopo. Nilikua na success kwenye kitengo changu kubwa tu, kisha akaja TL mpya in a month akawa amenizidi performance.

Ile ofisi ilikua na utaratibu wa kuchukua last performers na kuwataka watengeneze action plan kuonyesha wataimprove vipi, waonyeshe challenges na weakness yao.

Siku moja kabla ya hawa watu wa mwisho kufanya hivi bosi (Mchina) akaniita. Akaniambia anataka mimi ndiyo niandae hizo zote na anaamua kwamba kwa mwezi huo mimi ndiye poor performer. Akaniambia kwao China wana hili neno "wò xīn cháng dǎn" (nalikumbuka hadi leo) linalomaanisha mtu anatakiwa kudhalilishwa ili afanikiwe kwahiyo anaamini mimi kua presented kama poor performer considering I have always been successful na ni TL wa mwanzo kabisa itanifanya nifocus zaidi.

Notice kwamba aliyenizidi aliniacha points nne tu but jamaa akasema nastahili hii humiliation.

Am hereby saying Arsenal tunastahili hiyo humiliation, PGMOL is corrupt? We have injuries?

So what?

Wakati hayo yanatokea what did we do?

Tulisajili dirisha lilipofunguliwa January?

Tuliscore zaidi ili hata PGMOL wakose pa kutucorner?

Tulipunguza sideway passes na back passes na kufocus kwenda mbele zaidi?

Tuliacha kumuweka Partey RB?

Waweza uliza mbona Loserfools ilibidi wagome kuchezeshwa na certain referee?

Bitch fvck you.

The question is "WHAT DID WE DO?" Siyo "What did Loserfools do?"

So, yeah. Tunastahili hii humiliation. Na next time tukirudia upuuzi huu huu acha tuendelee kuwafanyia parade wenzetu mpaka tutakapoona it's enough we have to take action.

By the way, after the presentation I turned around the whole performance.
hiyo wisdom ya kichina nimeikubali mkuu
 
Historia inaonyesha PSG ajawai kumfunga kabisa arsenal ndani ya dk 90. Tangu 1994

Real madrid nae ilikuwa hivihivi.

#UEFA
Screenshot_20250425_160152_FotMob.jpg
 
Every time Munich has hosted a Champions League final, a new club has lifted the trophy:

1. 1979 – Nottingham Forest
2. 1993 – Marseille
3. 1997 – Borussia Dortmund
4. 2012 – Chelsea
5. 2025 — Arsenal
IMG-20250425-WA0013.jpg
 
Fede Valverde: "We have a great chance to revenge against Barcelona."

Final: Arsenal vs Barcelona

IMG-20250425-WA0021.jpg
 
Mikel Arteta: “I wanna tell our fans that against PSG they have to play every ball with us”.

“Bring your boots, your shinpads, your shorts, your T-shirts!”.

“Let’s play on Tuesday night all together here to have one of the most amazing nights at the Emirates”.
 

Attachments

  • IMG_20250426_102856_619.jpg
    IMG_20250426_102856_619.jpg
    137.9 KB · Views: 15
Online huko fans are mad kwakua Loserfools fans wanapost kutudhihaki kwamba tutawafanyia ile parade kumkaribisha bingwa.

NIliwahi kufanya kazi na wachina nilikua ni Team Leader wa kwanza kati ya waliopo. Nilikua na success kwenye kitengo changu kubwa tu, kisha akaja TL mpya in a month akawa amenizidi performance.

Ile ofisi ilikua na utaratibu wa kuchukua last performers na kuwataka watengeneze action plan kuonyesha wataimprove vipi, waonyeshe challenges na weakness yao.

Siku moja kabla ya hawa watu wa mwisho kufanya hivi bosi (Mchina) akaniita. Akaniambia anataka mimi ndiyo niandae hizo zote na anaamua kwamba kwa mwezi huo mimi ndiye poor performer. Akaniambia kwao China wana hili neno "wò xīn cháng dǎn" (nalikumbuka hadi leo) linalomaanisha mtu anatakiwa kudhalilishwa ili afanikiwe kwahiyo anaamini mimi kua presented kama poor performer considering I have always been successful na ni TL wa mwanzo kabisa itanifanya nifocus zaidi.

Notice kwamba aliyenizidi aliniacha points nne tu but jamaa akasema nastahili hii humiliation.

Am hereby saying Arsenal tunastahili hiyo humiliation, PGMOL is corrupt? We have injuries?

So what?

Wakati hayo yanatokea what did we do?

Tulisajili dirisha lilipofunguliwa January?

Tuliscore zaidi ili hata PGMOL wakose pa kutucorner?

Tulipunguza sideway passes na back passes na kufocus kwenda mbele zaidi?

Tuliacha kumuweka Partey RB?

Waweza uliza mbona Loserfools ilibidi wagome kuchezeshwa na certain referee?

Bitch fvck you.

The question is "WHAT DID WE DO?" Siyo "What did Loserfools do?"

So, yeah. Tunastahili hii humiliation. Na next time tukirudia upuuzi huu huu acha tuendelee kuwafanyia parade wenzetu mpaka tutakapoona it's enough we have to take action.

By the way, after the presentation I turned around the whole performance.
Achana nao hao Livakuku fans na fikra zao potofu, eti ni aibu kuwapa guard of honour...
Hii ni sportsmanship ya kawaida tu. Tumepambania kombe timu 20, 1 imeshinda so inapewa heshima yake na ikiwa timu yetu ndiyo imejikuta inacheza nao wakati wametangazwa kuwa mabingwa, siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka.

Sisi sasa tukomae pia tupambane tupate heshima hiyo siku moja.

Nadhani mimi nisingedumu kwenye kampuni ya hao wachina 😀 maana naona kama wana mitizamo ya kiwaki kama wanaona kumwambia mfanyakazi afanye presentation ya kueleza namna ya kuberesha ufanisi wake kama 'humiliation' na wanaifanya kwa lengo hilo ili utendaji uboreke.
 
Achana nao hao Livakuku fans na fikra zao potofu, eti ni aibu kuwapa guard of honour...
Hii ni sportsmanship ya kawaida tu. Tumepambania kombe timu 20, 1 imeshinda so inapewa heshima yake na ikiwa timu yetu ndiyo imejikuta inacheza nao wakati wametangazwa kuwa mabingwa, siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka.

Sisi sasa tukomae pia tupambane tupate heshima hiyo siku moja.

Nadhani mimi nisingedumu kwenye kampuni ya hao wachina 😀 maana naona kama wana mitizamo ya kiwaki kama wanaona kumwambia mfanyakazi afanye presentation ya kueleza namna ya kuberesha ufanisi wake kama 'humiliation' na wanaifanya kwa lengo hilo ili utendaji uboreke.
Soko la ajira la bongo ni moto.

Unajikuta unastick sehemu ambayo ukimwambia mtu mwingine anashangaa uliwezaje
 
Hizi stats ndiyo zinatuletea wachezaji mid kwa bei ya juu. Utasikia jamaa mkali ana GA ya 17, assists 11 na goli 6.

Halafu rating ya msimu ni 7.6 kwa 10.

Yaani hayo magoli 6 ya msimu yamempa hiyo rate na kwenu ataletwa kwa 60M. Kipindi naanza kushabikia mpira kulikua hakuna hizi mambo za GA ilikua ni ST kazi yake kufunga ana magoli machache ataitwa flop mmemalizana haina kuanza kutafuta cha kuhalalisha.

Siku hizi utasikia ila ana runs nzuri sana timu ikiwa haina mpira. Mara anasaidia na mid kukaba.

Ujio wa hizi stats unafanya hata fanbase igawanyike. Kwakua mchezaji anaweza kua mzururaji tu ila utashangaa mtu anakwambia huyu anacover eneo kubwa na ana GA ya 18.
 
Hizi stats ndiyo zinatuletea wachezaji mid kwa bei ya juu. Utasikia jamaa mkali ana GA ya 17, assists 11 na goli 6.

Halafu rating ya msimu ni 7.6 kwa 10.

Yaani hayo magoli 6 ya msimu yamempa hiyo rate na kwenu ataletwa kwa 60M. Kipindi naanza kushabikia mpira kulikua hakuna hizi mambo za GA ilikua ni ST kazi yake kufunga ana magoli machache ataitwa flop mmemalizana haina kuanza kutafuta cha kuhalalisha.

Siku hizi utasikia ila ana runs nzuri sana timu ikiwa haina mpira. Mara anasaidia na mid kukaba.

Ujio wa hizi stats unafanya hata fanbase igawanyike. Kwakua mchezaji anaweza kua mzururaji tu ila utashangaa mtu anakwambia huyu anacover eneo kubwa na ana GA ya 18.
soka limekua lakiwaki kinoma
 
Hizi stats ndiyo zinatuletea wachezaji mid kwa bei ya juu. Utasikia jamaa mkali ana GA ya 17, assists 11 na goli 6.

Halafu rating ya msimu ni 7.6 kwa 10.

Yaani hayo magoli 6 ya msimu yamempa hiyo rate na kwenu ataletwa kwa 60M. Kipindi naanza kushabikia mpira kulikua hakuna hizi mambo za GA ilikua ni ST kazi yake kufunga ana magoli machache ataitwa flop mmemalizana haina kuanza kutafuta cha kuhalalisha.

Siku hizi utasikia ila ana runs nzuri sana timu ikiwa haina mpira. Mara anasaidia na mid kukaba.

Ujio wa hizi stats unafanya hata fanbase igawanyike. Kwakua mchezaji anaweza kua mzururaji tu ila utashangaa mtu anakwambia huyu anacover eneo kubwa na ana GA ya 18.
Akina Kai hao.
 
Online huko fans are mad kwakua Loserfools fans wanapost kutudhihaki kwamba tutawafanyia ile parade kumkaribisha bingwa.

NIliwahi kufanya kazi na wachina nilikua ni Team Leader wa kwanza kati ya waliopo. Nilikua na success kwenye kitengo changu kubwa tu, kisha akaja TL mpya in a month akawa amenizidi performance.

Ile ofisi ilikua na utaratibu wa kuchukua last performers na kuwataka watengeneze action plan kuonyesha wataimprove vipi, waonyeshe challenges na weakness yao.

Siku moja kabla ya hawa watu wa mwisho kufanya hivi bosi (Mchina) akaniita. Akaniambia anataka mimi ndiyo niandae hizo zote na anaamua kwamba kwa mwezi huo mimi ndiye poor performer. Akaniambia kwao China wana hili neno "wò xīn cháng dǎn" (nalikumbuka hadi leo) linalomaanisha mtu anatakiwa kudhalilishwa ili afanikiwe kwahiyo anaamini mimi kua presented kama poor performer considering I have always been successful na ni TL wa mwanzo kabisa itanifanya nifocus zaidi.

Notice kwamba aliyenizidi aliniacha points nne tu but jamaa akasema nastahili hii humiliation.

Am hereby saying Arsenal tunastahili hiyo humiliation, PGMOL is corrupt? We have injuries?

So what?

Wakati hayo yanatokea what did we do?

Tulisajili dirisha lilipofunguliwa January?

Tuliscore zaidi ili hata PGMOL wakose pa kutucorner?

Tulipunguza sideway passes na back passes na kufocus kwenda mbele zaidi?

Tuliacha kumuweka Partey RB?

Waweza uliza mbona Loserfools ilibidi wagome kuchezeshwa na certain referee?

Bitch fvck you.

The question is "WHAT DID WE DO?" Siyo "What did Loserfools do?"

So, yeah. Tunastahili hii humiliation. Na next time tukirudia upuuzi huu huu acha tuendelee kuwafanyia parade wenzetu mpaka tutakapoona it's enough we have to take action.

By the way, after the presentation I turned around the whole performance.
Good.
Online huko fans are mad kwakua Loserfools fans wanapost kutudhihaki kwamba tutawafanyia ile parade kumkaribisha bingwa.

NIliwahi kufanya kazi na wachina nilikua ni Team Leader wa kwanza kati ya waliopo. Nilikua na success kwenye kitengo changu kubwa tu, kisha akaja TL mpya in a month akawa amenizidi performance.

Ile ofisi ilikua na utaratibu wa kuchukua last performers na kuwataka watengeneze action plan kuonyesha wataimprove vipi, waonyeshe challenges na weakness yao.

Siku moja kabla ya hawa watu wa mwisho kufanya hivi bosi (Mchina) akaniita. Akaniambia anataka mimi ndiyo niandae hizo zote na anaamua kwamba kwa mwezi huo mimi ndiye poor performer. Akaniambia kwao China wana hili neno "wò xīn cháng dǎn" (nalikumbuka hadi leo) linalomaanisha mtu anatakiwa kudhalilishwa ili afanikiwe kwahiyo anaamini mimi kua presented kama poor performer considering I have always been successful na ni TL wa mwanzo kabisa itanifanya nifocus zaidi.

Notice kwamba aliyenizidi aliniacha points nne tu but jamaa akasema nastahili hii humiliation.

Am hereby saying Arsenal tunastahili hiyo humiliation, PGMOL is corrupt? We have injuries?

So what?

Wakati hayo yanatokea what did we do?

Tulisajili dirisha lilipofunguliwa January?

Tuliscore zaidi ili hata PGMOL wakose pa kutucorner?

Tulipunguza sideway passes na back passes na kufocus kwenda mbele zaidi?

Tuliacha kumuweka Partey RB?

Waweza uliza mbona Loserfools ilibidi wagome kuchezeshwa na certain referee?

Bitch fvck you.

The question is "WHAT DID WE DO?" Siyo "What did Loserfools do?"

So, yeah. Tunastahili hii humiliation. Na next time tukirudia upuuzi huu huu acha tuendelee kuwafanyia parade wenzetu mpaka tutakapoona it's enough we have to take action.

By the way, after the presentation I turned around the whole performance.
 
Historia inaonyesha PSG ajawai kumfunga kabisa arsenal ndani ya dk 90. Tangu 1994

Real madrid nae ilikuwa hivihivi.

#UEFA
View attachment 3315245
Historia pia inaonyesha Arsenyau haijawahi kushinda hilo kombe la Uefa tokea limeanzishwa.
Haya ndio mambo ya historia sasa kama kweli wewe ni mfuasi mzuri wa kujudge mambo kwa misingi ya historia.
1735021242985.jpg
 
Back
Top Bottom