Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
"Siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka."Achana nao hao Livakuku fans na fikra zao potofu, eti ni aibu kuwapa guard of honour...
Hii ni sportsmanship ya kawaida tu. Tumepambania kombe timu 20, 1 imeshinda so inapewa heshima yake na ikiwa timu yetu ndiyo imejikuta inacheza nao wakati wametangazwa kuwa mabingwa, siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka.
Sisi sasa tukomae pia tupambane tupate heshima hiyo siku moja.
Nadhani mimi nisingedumu kwenye kampuni ya hao wachina 😀 maana naona kama wana mitizamo ya kiwaki kama wanaona kumwambia mfanyakazi afanye presentation ya kueleza namna ya kuberesha ufanisi wake kama 'humiliation' na wanaifanya kwa lengo hilo ili utendaji uboreke.


Hery14 banaaa, yaani timu lako lina zaidi ya miaka 20 halijabeba Epl, misimu mitatu iliyopita lilikua na nafasi kubwa ya kubeba hilo kombe lakini pia likashindwa, halafu liverpool ambayo hakuna mtu yeyote alietegemea itabeba hilo kombe msimu huu inapita nalo nyie mnabaki kua wasindikizaji, tena kwa kua nyie ni mazuzu sheria inawataka mpange mistari muwapigie makofi wakiwa wanaingia uwanjani halafu wewe unaona huo sio udhalilishaji? Ingekua Arsenyau imebeba hilo kombe hata miaka mitano iliyopita walau unakua na nguvu hata ya kujitetea kua unawapongeza washindani wako, sasa wewe ni zaidi ya miaka 20 huo ushindani wako kwa Liverpool unautolea wapi?
Kwa akili za harakaharaka tu unafikiri hapa chini V.Persie alikua anajisikiaje?
