mkale
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 1,737
- 1,987
NEWCASTLE asiwepo? Au Chelsea asiwepo. Kiushindani hapo naona ni bora Chelsea asiwepo.
nafikiri enzo maresca ana chance kubwa zaidi ya kufanya vizuri kwenye CL kuliko eddie howe.
NEWCASTLE asiwepo? Au Chelsea asiwepo. Kiushindani hapo naona ni bora Chelsea asiwepo.
Kumbe mpaka Carabao wana miaka mingi hiviHistoria pia inaonyesha Arsenyau haijawahi kushinda hilo kombe la Uefa tokea limeanzishwa.
Haya ndio mambo ya historia sasa kama kweli wewe ni mfuasi mzuri wa kujudge mambo kwa misingi ya historia. View attachment 3316485
"Siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka."Achana nao hao Livakuku fans na fikra zao potofu, eti ni aibu kuwapa guard of honour...
Hii ni sportsmanship ya kawaida tu. Tumepambania kombe timu 20, 1 imeshinda so inapewa heshima yake na ikiwa timu yetu ndiyo imejikuta inacheza nao wakati wametangazwa kuwa mabingwa, siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka.
Sisi sasa tukomae pia tupambane tupate heshima hiyo siku moja.
Nadhani mimi nisingedumu kwenye kampuni ya hao wachina 😀 maana naona kama wana mitizamo ya kiwaki kama wanaona kumwambia mfanyakazi afanye presentation ya kueleza namna ya kuberesha ufanisi wake kama 'humiliation' na wanaifanya kwa lengo hilo ili utendaji uboreke.


Hery14 banaaa, yaani timu lako lina zaidi ya miaka 20 halijabeba Epl, misimu mitatu iliyopita lilikua na nafasi kubwa ya kubeba hilo kombe lakini pia likashindwa, halafu liverpool ambayo hakuna mtu yeyote alietegemea itabeba hilo kombe msimu huu inapita nalo nyie mnabaki kua wasindikizaji, tena kwa kua nyie ni mazuzu sheria inawataka mpange mistari muwapigie makofi wakiwa wanaingia uwanjani halafu wewe unaona huo sio udhalilishaji? Wewe ni miongoni mwa wenye fikra potofu."Siyo kujidhalilisha kuwapigia makofi bali ni kuwapongeza tu kirafiki kama washindani na marafiki zetu katika soka."
Hery14 banaaa, yaani timu lako lina zaidi ya miaka 20 halijabeba Epl, misimu mitatu iliyopita lilikua na nafasi kubwa ya kubeba hilo kombe lakini pia likashindwa, halafu liverpool ambayo hakuna mtu yeyote alietegemea itabeba hilo kombe msimu huu inapita nalo nyie mnabaki kua wasindikizaji, tena kwa kua nyie ni mazuzu sheria inawataka mpange mistari muwapigie makofi wakiwa wanaingia uwanjani halafu wewe unaona huo sio udhalilishaji?
Ingekua Arsenyau imebeba hilo kombe hata miaka mitano iliyopita walau unakua na nguvu hata ya kujitetea kua unawapongeza washindani wako, sasa wewe ni zaidi ya miaka 20 huo ushindani wako kwa Liverpool unautolea wapi?
Kwa akili za harakaharaka tu unafikiri hapa chini V.Persie alikua anajisikiaje? View attachment 3316511View attachment 3316512
Kila mtu ana jicho lake la mpira. Halafu kuna ushabiki kucloud judgmentKuna muhuni huku alikua anawapa matumaini kwamba kufikia Februari Arsenyau ingekua juu ya Liverpool
Kuna macho ya bhange sasaKila mtu ana jicho lake la mpira. Halafu kuna ushabiki kucloud judgment
Europa Atletico bilbaoHua nikisema kwamba hasimu wa Arsenal ni Spurs muwe mnaelewa.
Spurs, kwa sasa alipo hashuki daraja na hawezi kufikia top four. This means anatakiwa afocus na Europa zaidi kuliko ligi.
It also means akifungwa na Loserfools leo Jpili ni Arsenal ndiyo tutatakiwa kufanya guard of honour kwa Loserfools.
Now imagine these scenes.
Spurs anafungwa ili afocus na Europa halafu anaenda kunyanyua Europa. Kisha, Arsenal tunafanya guard of honour kwa Loserfools halafu CL tunazingua.
Kwa ambao ni wageni haitakua mara ya kwanza kwa Spurs kujiangusha ikatokea wanatakiwa kushinda ili advantage iwaendee Arsenal. Wamewahi jidondosha game ambayo wangeshinda wanaenda UEFA
So, wale wenye hasira ya kufanya guard of honour kazi ipo.
Bahati ina nafasi kubwa kwenye tournamentsEuropa Atletico bilbao
Uefa Arsenal
Spurs walaini sana kwa timu isiyo Arsenal.


Mwaka 2020 Arsenyau hapohapo nyumbani kwenu mlipanga mistari kulia na kushoto na kuanza kuwapigia makofi ya pongezi wanaume wakiwa wanaingia uwanjani. Yupo katika nafasi ngumu sana-- wajerumani wataongeza kua ni migrant -- akaze tu kijasiri🤣Rudiger ni mpuuzi miaka yote.
Hichi alichofanya jana wazungu watasema kwakua ni mweusi.
Weusi watasema kwakua ni muislamu.