Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Nyumbu kanyooshwa


Mkuu achana na nyumbu, sisi tayari tumeshamaliza ligi, hizi mechi tunazocheza ni za kukamilisha ratiba tu. Pambaneni mchukue Epl, points 14 sio nyingi, kombe lenu kabisa hili.
Nyumbu kanyooshwa


Mkuu achana na nyumbu, sisi tayari tumeshamaliza ligi, hizi mechi tunazocheza ni za kukamilisha ratiba tu. Fanbase yenu ni deluded ndiyo maanaMkuu achana na nyumbu, sisi tayari tumeshamaliza ligi, hizi mechi tunazocheza ni za kukamilisha ratiba tu.
Pambaneni mchukue Epl, points 14 sio nyingi, kombe lenu kabisa hili.View attachment 3310461
Hayo mambo tumewaachia nyumbu.Daah, mashabiki wa Arsenal nimewakubali😅, yani kama leo hatujashinda?! ushindi haujadiliwi wala nini, kushinda kawaida😅😅😅😅
Utajadilije ushindi usio na faida mzee upo sawa kichwani kweliDaah, mashabiki wa Arsenal nimewakubali😅, yani kama leo hatujashinda?! ushindi haujadiliwi wala nini, kushinda kawaida😅😅😅😅
Hajielewi huyoUtajadilije ushindi usio na faida mzee![]()

NakubaliHayo mambo tumewaachia nyumbu.
Ushindi kwetu ni routine. Tutajadiliwa tukidraw/tukiloose.
Niko vizuri kabisa Mkuu, niko TIMAMU.Utajadilije ushindi usio na faida mzee upo sawa kichwani kweli
Duh Lehman sioni uzuri wake. Pale WSL, nawakubali warembo 3;Daah. Basi kwa Lehman wanaume tuna nafasi 😀😀😀. Na pale Brighton kuna Aisha Masaka, mbongo, mrembo. Sijui kama wahuni wa kike watakuwa wamemuacha salama.
Lehmann haangaliwi sura, ila watu wanaangalia chura.Duh Lehman sioni uzuri wake. Pale WSL, nawakubali warembo 3;
1. Gabrielle George
2. Sam Kerr, sema huyu ni lesbian
3. Leah Williamson
Hapo sawa nimewaeelewaLehmann haangaliwi sura, ila watu wanaangalia chura.
Halafu huyu Montserrat anazingua 😅😂Lehmann haangaliwi sura, ila watu wanaangalia chura.
Montserrat anapenda sura zaidi inaelekea, na labda kwake chura siyo ishu 😀 si unaona amemtaja Leah Williamson?Halafu huyu Montserrat anazingua 😅😂
Hata sura yake siyo mbovu.
Ila hiyo shape ndiyo inasababisha balaa
Hicho kijamaa ndio mana hata tumashuti twake kama twa mtoto. Kumbe Lecazate ndio amekaharibu.Wameachana na ball, sasa wanajadiliana vile vitu wanapenda, LGBTQ
View attachment 3310815View attachment 3310816View attachment 3310818View attachment 3310820View attachment 3310821
Nico alipo anavuta £250k/wChangamoto ni kwamba Williams anaamini anatakiwa kua starter. Umri wa Martinelli na WC inakaribia hawezi ridhika kua sub.