Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Badala akomae na mpira amekimbilia mashindano ya u miss halafu mnataka ubingwa kenge kweli
skysportsfootball-20250405-0001.jpg
 
Hii timu ya Arsenal ni majanga, yaani kipindi wapo vizuri ndiyo kipindi wanatoka mikono mitupu
 
Hii game ya Palace na Brighton ina red cards 3, 2 kwa Palace, 1 kwa Brighton. Dk 12 za nyongeza, zimebaki 5. Yaani Palace walikuwa wamalize hizo 12 na watu 9 tu uwanjani ila Van Hecke akaamua kuchukua na yeye kadi yake nyekundu.

Bado Palace anaongoza 2-1
 
Naona Villa wameamua kutasaidia kwa kuanza kumpiga Forest 2 za chap chap. Mambo yakibaki hivi tutaendelea kukaa juu ya Forest kwa points 5. Hawa Forest ni ndugu zetu ila kwa leo acha tu wapigwe.
 
Naona Villa wameamua kutasaidia kwa kuanza kumpiga Forest 2 za chap chap. Mambo yakibaki hivi tutaendelea kukaa juu ya Forest kwa points 5. Hawa Forest ni ndugu zetu ila kwa leo acha tu wapigwe.
😂😂😂😂😂 yaani saivi ubingwa ni kukaa juu ya forest baada ya phase zote zile , sema forest anawaza fa cup si unajua yupo semifinal pale. Hapo juu mtakaa sana forest ana mashindano mengi 😁
 
Back
Top Bottom