HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
Hilo linajulikana mbona, na tunaliongea humu mara kwa mara? Na hapo VAR pia wameangalia.Sema mkae vizuriii muongee na PGMOL mjue nini tatizo lile kwa hakika sio tuta , mafalse hopers mmezulumiwa
Hilo linajulikana mbona, na tunaliongea humu mara kwa mara? Na hapo VAR pia wameangalia.Sema mkae vizuriii muongee na PGMOL mjue nini tatizo lile kwa hakika sio tuta , mafalse hopers mmezulumiwa
Hapana. Ubingwa ni kuongoza ligi na kubeba kombe. Hapo yupo Liverkuku. Sisi na Forest na wengine kama akina Chelkenge tunafukuzia nafasi ya pili kwa sasa. Yaani ile prize money inayoweza kuwa zaidi ya pauni milioni 170 kwa mshindi wa pili ndiyo tunaihitaji na tunaipambania maana ndiyo hiyo tunaitegemea kwa kuwanunua Zubimendi, Isak na Nico Williams.😂😂😂😂😂 yaani saivi ubingwa ni kukaa juu ya forest baada ya phase zote zile , sema forest anawaza fa cup si unajua yupo semifinal pale. Hapo juu mtakaa sana forest ana mashindano mengi 😁
Hata huko hatufiki popote wallah.Si UEFA boss!
Sawa boss wewe una akili sana.Huna akili.
Ndugu au shemeji yake Arteta.Tafuteni kipa wa kueleweka kenge nyie
Haaa haaaArsenal tumelaaniwa
Van Dildo anasasambuliwa Ulaya wewe upo Bongo unatembeza ujinga kila ukipata wifi ya bureTafuteni kipa wa kueleweka kenge nyie
View attachment 3294634
Mbona umechelewa kulijua hilo😂😂 ila sema huwa mnalijua hili msimu ukiwa unaishaa.Arsenal tumelaaniwa
mdomo unawaponza 😁 nb madrid kapewa 3 odds🔥Idea ilikua kuhakikisha tunajiweka salama game dhidi ya Madrid. Badala yake tukamess up game dhidi ya Everton baada ya hii mess up turudi mezani.
Swali sasa, "Tuna advantage yoyote kwenye game dhidi ya Madrid?"
Upande wetu wa kulia hua unachangamka akiwepo Martin, Ben na Bukayo. Ben amerudi tayari ila theoretically LW anakabwa vizuri sana na LB na RW anakabwa vizuri sana RB kwakua atatumia mguu dominant katika kumzuia kucut in na kuscore.
So inawezekana kabisa Jurrien akaanza dhidi ya Ben. Lakini Myles is young, na ana attitude ile ile aliyonayo Calafiori so he can be good lakini anaweza kua ndiye mtu atakayeset up kitanzi chenu.
In a spirit of defending ni sahihi Jurrien akarudi nafasi yake na Ben akarudi nafasi yake. Kiwior is good but he is rusty, game time imekua adui kwake ila ndiye CB wetu ambaye anapiga long balls na cross vizuri na mara kwa mara.
Mtumia akili zaidi kuliko nguvu. Remember I said he is rusty? Yeah, this means anaweza stuck anaload up cha kufanya.
Huu msimu Arsenal hajawahi kushika nafasi ya kwanza. Alishika City kisha Liver, why no one is saying city bottled the lead? Kwakua haina fanbase, city na kenge wamesuluhu why no one is surprised? Same reason. Attitude sahihi ingekua ni kila mechi kupambana kushinda, hii ya kuacha wachezaji nje ili uwatunze kwaajili ya mechi nyingine haina afya.
Tuliuanza msimu na majeruhi haitatushtua yangetokea mengine juzi dhidi ya Everton so Arteta hakua sahihi kupumzisha watu.
Sikuelewi ulitaka kuandika nini.mdomo unawaponza 😁 nb madrid kapewa 3 odds🔥
Wiki hizi mbili Arsenal tumecheza na Fulham tumeshinda 2 kwa 1Wakati Castr akizungumzia tactically na technically kuelekea game na Mardid, mi nikajaribu kuongea na mashabiki wenzetu hapa mtaani kuhusu game.
Wakati Liverpool wanacheza na PSG, mashabiki wao waliibeza sana PSG. Wakidai kama sisi Arsenal tumewapiga za kutosha, sembuse wao wazee wa treble. Hili pia lilionekana humu JF kwa fans wao.
We are worse kuliko Liver fans. Mashabiki wanaamini eti kisa tulimpiga Mardid 2006, basi na kesho tunampiga vile vile!!!! I was like WTF!!!!😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃View attachment 3295637
mnaongea sana ndomaana mkifungwa au kusale inakua habar kuu (madrid kupewa 3 odds hio ni kwenye ukamaria kesho nipe tokeo mapema😁)Sikuelewi ulitaka kuandika nini.
Mdomo unawaponza.
Madrid kapewa 3 odds.
Nani kaponzwa na mdomo? Madrid ndiyo maana kapewa 3 odds au vipi?
Tunaongea kuhusu nini? Majeruhi?mnaongea sana ndomaana mkifungwa au kusale inakua habar kuu (madrid kupewa 3 odds hio ni kwenye ukamaria kesho nipe tokeo mapema😁)
mkishinda mnasumbua sanaTunaongea kuhusu nini? Majeruhi?
Aiseemkishinda mnasumbua sana