Vipi kuhusu kuikamata Liverpool?Aisee itabidi tupambane tushinde ili tuendelee kuishikilia nafasi ya pili.
Mlimnunua kwa ajili ya assist! Kenge ni kenge tu.Katoa assist sasa hivi
We punda, hivi ni nani aliyekwambia Nwaneri kanunuliwa? 😅😅😅Mlimnunua kwa ajili ya assist! Kenge ni kenge tu.
Hilo tusahau kwa sasaVipi kuhusu kuikamata Liverpool?
Wa kulaumiwa ni Trump na Musk kwa kuila kichwa USAIDMlimnunua kwa ajili ya assist! Kenge ni kenge tu.
😃😃Mnaanza kukata tamaaHilo tusahau kwa sasa
arminia wako moto msimu huuJana bwana timu ya daraja la 3 ya Arminia Bielefeld imeitoa Leverkusen na kuingia fainali ya DFB Pokal.
Wanasubiri mshindi kati ya Stuttgart na RB Leipzig ili wakute naye kuamua mshindi wa hili kombe.
Endapo Arminia Bielefeld wakishinda watakua wamefuzu kwenda Europa automatically. Mashabiki tunataka hili litokee 😅
Huwa mnapenda kulalalama nyie viazi, na mngepgwa hii ndio ingekua kisingizio.Gabriel kaumia refa hakupiga filimbi.
Mchezaji wa Fulham kaumia refa kapiga filimbi.
Wenzako wa nyumbu wamesusa jukwaa lao tangu juzi.Huwa mnapenda kulalalama nyie viazi, na mngepgwa hii ndio ingekua kisingizio.
Arsenal defender Gabriel to miss rest of the season with hamstring injury - latest
Kiwior ndie anayetegemewani damage ki ukweli ila kama angekuwa fit ,mwamba tomiyasu angezima hapo lakini pia inawezekana declan akarudi chini wacheze pacha na saliba.