Paz3i
JF-Expert Member
- Oct 11, 2014
- 1,034
- 1,521
mkishinda mnasumbua sanaTunaongea kuhusu nini? Majeruhi?
mkishinda mnasumbua sanaTunaongea kuhusu nini? Majeruhi?
Aiseemkishinda mnasumbua sana
Mzenge wewe hii ni edit 😂😂😂Tafuteni kipa wa kueleweka kenge nyie
View attachment 3294634
Sasa wewe jichanganyemdomo unawaponza 😁 nb madrid kapewa 3 odds🔥
no risk no story 😁Sasa wewe jichanganye
Kanji sio mjomba wako
Arsenal kama Arsenal au mechi nzima?Castr leo mnaweza toa kona 14+


Ndugu yangu Masingeli Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, A chief executive officer of hamis77 Integrated Investment Co. LTD wakati tunasubiria masaa machache kuelekea game yenu dhidi ya Madrid tunakuomba utie false hopes zozote zitakazo leta faraja kwa mashabiki wa Asno, maana mpaka dakika hii naona mashabiki wote humu tayari wameshajikatia tamaa, wanatamani bora wangetolewa mapema kuliko hii fedheha na dhahma wanayoenda kukutana nayo dhidi ya kina Mbappe.mechi nzimaArsenal kama Arsenal au mechi nzima?
10 uhakika.mechi nzima