Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Berta amezungumza na camp ya Victor.

Mashabiki tumegawanyika kuna wanaoprefer Victor na wengine Isak but financially ni sahihi zaidi kudeal na Victor.

Argument wanayompinga Victor ni umri na kwamba alishafeli EPL. But De Bruyne na Salah walishafeli EPL kabla ya kurudi tena.

Upingaji kwa Isak ni price tag ambayo ni kama 130M. Ukitoa hii inabidi usisajili baadhi ya nafasi. Hata hivyo binafsi naona Isak atafanya vizuri zaidi Liverpool au United kuliko kwetu pia alishakosa mechi kadhaa kwaajili ya injury.

That being said I think ni bora tudeal na Victor.
Victor is a total waste of money. Takataka nyingine
 
Saka yupo sub. White hayupo sub.

Huu mwaka 😅

Screenshot_2025-04-01-20-35-13-027_com.instagram.android-edit.jpg
 
Victor is a total waste of money. Takataka nyingine
Kama nilivyosema kwamba fanbase imegawanyika juu ya hii ishu. Victor 60-70M, Isak 130M.

Buy Victor, unabaki na cash ya kujazia kumleta Sesko, Zubimendi na Nico Williams.

Isak price tag yake ni ndefu na unaingia kwenye kugombania saini na timu zingine.
 
Mayatima 😁😁😁😁

Nasikia mpiga kona wenu karudi.

Tutegemee Magoli yenu yale

😃😃😃😃
 
Wenzetu wanapata mpira wanapambana kuja mbele sisi tunatafuta nani yupo nyuma tumpe mpira
 
Nyie KENGE...mna uhakika huyu NWANERI ni mchezaji? Hivi mmetoa wapi hii takataka?
 
Haya Magalasa huyo tayari ameshamaliza msimu wake, hapo akiumia na Salima ndio tayari Arsenyau wanakua wametupa taulo rasmi.
 
Beki anayemkaba Martinelli naona hamuwezi Martinelli ila timu haipeleki presha upande ule zaidi
 
Nimekuwa nikimuangalia Nwaneri mechi kadhaa. Naona anatupa udhaifu kwa tabia yake ya kutofanya runs nyuma ya mabeki, hivyo anashindwa kupigiwa through passes au progressive passes zozote. Yeye anataka abaki, apewe mpira aukokote. Sasa Odegaard naye anaujinga huo huo, hivyo upande wetu wa kulia hauna makali katika ushambuliaji.

Nwaneri anatakiwa kufanya runs maana yeye hatanui uwanja kwenye chaki kama Martinelli. Hata assist aliyotoa ni kutokana na ile mara moja aliyofanya run kwa kulazimishiwa pass, ila inatakiwa awe anafanya hivyo naturally akiwa kwenye nafasi anazojikuta yupo.
 
Gabriel kaumia refa hakupiga filimbi.

Mchezaji wa Fulham kaumia refa kapiga filimbi.
 
Back
Top Bottom