Nimekuwa nikimuangalia Nwaneri mechi kadhaa. Naona anatupa udhaifu kwa tabia yake ya kutofanya runs nyuma ya mabeki, hivyo anashindwa kupigiwa through passes au progressive passes zozote. Yeye anataka abaki, apewe mpira aukokote. Sasa Odegaard naye anaujinga huo huo, hivyo upande wetu wa kulia hauna makali katika ushambuliaji.
Nwaneri anatakiwa kufanya runs maana yeye hatanui uwanja kwenye chaki kama Martinelli. Hata assist aliyotoa ni kutokana na ile mara moja aliyofanya run kwa kulazimishiwa pass, ila inatakiwa awe anafanya hivyo naturally akiwa kwenye nafasi anazojikuta yupo.