Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,236
- 3,675
Toa neno UEFA hapo tafadhali kaka , kuwa na heshima na UEFA hio false hope sijui ya uefa cup winners hii hatuitambui kabisa na sisi mimi tu hata hao UEFA hawaitambui.😀 😀 😀 😀 Wewe una raha basi. Umeshuhudia Arsenal ikibeba FA Cups kadhaa na PL 3 ikiwa na Wenger. Sijui kama ulishuhudia ile UEFA Cup Winners Cup (mimi nilikuwepo duniani enzi hizo) ila baada ya Wenger umeshuhudia Arteta akibeba FA Cup katika msimu wake wa kwanza na kuifanya Arsenal kuongoza kwa kubeba kikombe hicho.
Bahati nzuru kwako, ukahamia Newcastle na kushuhudia wakibeba League Cup, kikombe chenu cha kwanza cha aina yeoyote ile (pamoja na kuwa kwa ufahari kiko chini ya makombe karibia yote mengine) tangu 1955.
Bahati yako nyingine ni kwamba kwa standards za Arsenal, mafanikio yetu yanaonekana ni madogo, licha ya kushinda zaidi na kuwakilishwa zaidi kwenye mashindano ya kimataifa, kuliko yakwenu ya kuchukua kikombe kimoja tangu 1955.
Siyo mbaya, standards huwa tofauti kwa timu tofauti.
Ndio maana kwenye list ya uefa champion winner arsenal haipo ila wanangu wa unai emery Aston villa wapo .