We jamaa una spana za moto.Achana na makombe ya mwaka 1961 huku wakati wa kukusanywa kwenye vijijo vya ujamaa, ww kama shabiki wa arsenal umewahi shuhudia arsenal kabeba hili kombe toka uanze kuujua mpira .
Yaani arsenal kila sehemu tukiweka vigezo nyinyi mnaonekana vituko 😅.