Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Andrea Berta, aliyekuwa Sporting Director wa Atletico Madrid, anakaribia kujiunga na Arsenal kama Sporting Director wetu, akichukua nafasi iliyoachwa na Edu.

Nadhani wengi wetu hatujui masuala ya masporting director ila tuliuona umuhimu na mchango wa Edu katika kuturudisha top 4 na kupambania ubingwa. Naweza kusema kuwa nadhani msimu huu tumekutana na majanga ya majeruhi, dhulma, kupoteza form na bahati mbaya nyingi zilizoyumbisha msako wetu wa msimu, ila kumpoteza Edu November mwaka jana nalo ni pigo moja wapo kwetu msimu huu.

Je, mnadhani Berta, kutoka timu iliyofanikiwa Spain akiwa nao, atatusaidia kupiga hatua mbele ya tulipofikia hapa sasa?
asenyo mna ukata 😁
 
Sio kwamba nyie ndio mmechanganyikiwa, miaka saba yote juzi mmestrugle kumfunga chelsea ambayo iko hoi inayotafuta kujipata, ndio mnategemea mkamfunge madrid!!.

Mafanikio yenu UEFA msimu huu ni kumfunga PSG hakuna jingine.
arsenal2004

Hiyo picha hapo inaonyesha kwamba miaka saba iliyopita, hao watu hawakuwa Arsenal. Maanake ni kwamba si kweli kuwa hao wachezaji wamekuwa pamoja kwa miaka saba.
 
Hiyo picha hapo inaonyesha kwamba miaka saba iliyopita, hao watu hawakuwa Arsenal. Maanake ni kwamba si kweli kuwa hao wachezaji wamekuwa pamoja kwa miaka saba.
Hawakwepo lakini mfumo ulikwepo.

Kwani Arteta si ameanza kufundisha Arsenal 2019 mjomba?? Mpk leo si ni miaka7! Hivyo miaka inahesabika tokea Tetea amekua incharge. Ina maana wachezaji wakija wanakuta mfumo.

Sasa nyie mlivyokua wa hovyo mnahesabu kila mchezaji kivyake, wakati wanatumia mfumo uliotengenezwa kw miaka saba.
 
Hawakwepo lakini mfumo ulikwepo.

Kwani Arteta si ameanza kufundisha Arsenal 2019 mjomba?? Mpk leo si ni miaka7! Hivyo miaka inahesabika tokea Tetea amekua incharge. Ina maana wachezaji wakija wanakuta mfumo.

Sasa nyie mlivyokua wa hovyo mnahesabu kila mchezaji kivyake, wakati wanatumia mfumo uliotengenezwa kw miaka saba.
Sasa namimi sijawaelewa wanaomshangaa caicedo.

Ile "They" basi imewachanganya wanafikiri wanaongelewa kina kai na odegaard 😂😂
 
Sio kwamba nyie ndio mmechanganyikiwa, miaka saba yote juzi mmestrugle kumfunga chelsea ambayo iko hoi inayotafuta kujipata, ndio mnategemea mkamfunge madrid!!.

Mafanikio yenu UEFA msimu huu ni kumfunga PSG hakuna jingine.
arsenal2004
Wewe sasa hata akili ya utambuzi ni changamoto.

Pamoja na picha ila hujajua kwanini Caicedo kaonekana kachanganyikiwa
 
Hawakwepo lakini mfumo ulikwepo.

Kwani Arteta si ameanza kufundisha Arsenal 2019 mjomba?? Mpk leo si ni miaka7! Hivyo miaka inahesabika tokea Tetea amekua incharge. Ina maana wachezaji wakija wanakuta mfumo.

Sasa nyie mlivyokua wa hovyo mnahesabu kila mchezaji kivyake, wakati wanatumia mfumo uliotengenezwa kw miaka saba.
Mfumo?

Grealish, Savinho na Doku hawajakuta mfumo City?

First XI ya Arsenal juzi wengi wameanza kucheza first team football 2023. Same na muda walioanza kikosi cha Kenge.

Halafu caicedo hajasema mfumo. Usidhani peke yako ndiyo unajua kiingereza.
 
Sasa namimi sijawaelewa wanaomshangaa caicedo.

Ile "They" basi imewachanganya wanafikiri wanaongelewa kina kai na odegaard 😂😂
Grealish kasajiliwa flop.
Kaja Doku flop.
Kaja Savinho flop.
Kaja Marmoush. Anaonekana ameclick.

Hao watatu wa juu hawajakuta mfumo kwenye timu yenu? Ni tangu lini 'they' inamaanisha mfumo?
 
Al Nasr wanamtaka Gabriel Magalhaes.

Ofa yao ikianza na 100M Arsenal wapo tayari kufikiria kumuuza.

Nawaza, kwa sasa Arsenal inatakiwa Jesus aondoke, Zinchenko aondoke (risk considering Tierney anaondoka), Vieira aondoke, Marquinhos aondoke, Tavares akienda kwa nyumbu atashine kuliko Arsenal, game time kwa Kiwior ya kutosha.

Akinunuliwa ST mzuri automatically Kai anaondoka.
 
Grealish kasajiliwa flop.
Kaja Doku flop.
Kaja Savinho flop.
Kaja Marmoush. Anaonekana ameclick.

Hao watatu wa juu hawajakuta mfumo kwenye timu yenu? Ni tangu lini 'they' inamaanisha mfumo?
Nimeielewa point yako.
 
Hawakwepo lakini mfumo ulikwepo.

Kwani Arteta si ameanza kufundisha Arsenal 2019 mjomba?? Mpk leo si ni miaka7! Hivyo miaka inahesabika tokea Tetea amekua incharge. Ina maana wachezaji wakija wanakuta mfumo.

Sasa nyie mlivyokua wa hovyo mnahesabu kila mchezaji kivyake, wakati wanatumia mfumo uliotengenezwa kw miaka saba.
Yaani mfumo huu Arteta amekuwa nao miaka saba? Yaani kile alichokikuta Arteta na alichokijenga ndani ya hiyo miaka saba ni hicho hicho? Kwamba hatuwezi kusema 'miaka 3 mfumo fulani, miaka 4 mfumo mwingine'? Maana kwa mimi naweza kusema timu ya kiushindani ameipata miaka hii mi3, mi4 hivi ambapo ndipo alipokuwa angalau na wachezaji wake na mfumo unaomfaa...
 
Back
Top Bottom