NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Arsenal na kumwaga mpunga 🫲........🫱Isak na Bruno tunawataka. Kiangazi hapa tunawamwagia mpunga na kuondoka nao waje Emirates tuchukue nao treble.
Arsenal na kumwaga mpunga 🫲........🫱Isak na Bruno tunawataka. Kiangazi hapa tunawamwagia mpunga na kuondoka nao waje Emirates tuchukue nao treble.
asenyo mna ukata 😁Andrea Berta, aliyekuwa Sporting Director wa Atletico Madrid, anakaribia kujiunga na Arsenal kama Sporting Director wetu, akichukua nafasi iliyoachwa na Edu.
Nadhani wengi wetu hatujui masuala ya masporting director ila tuliuona umuhimu na mchango wa Edu katika kuturudisha top 4 na kupambania ubingwa. Naweza kusema kuwa nadhani msimu huu tumekutana na majanga ya majeruhi, dhulma, kupoteza form na bahati mbaya nyingi zilizoyumbisha msako wetu wa msimu, ila kumpoteza Edu November mwaka jana nalo ni pigo moja wapo kwetu msimu huu.
Je, mnadhani Berta, kutoka timu iliyofanikiwa Spain akiwa nao, atatusaidia kupiga hatua mbele ya tulipofikia hapa sasa?
Uliambiwa wanacheza leo bro?Real Madrid vs Arsensl not televised live? Natafuta hapa naona kapa
Wanawake wetu wanacheza UCL robo fainali na wanawake wa Madrid.Uliambiwa wanacheza leo bro?
Wanawake wetu wanacheza UCL robo fainali na wanawake wa Madrid.
Wakija pale Emirates wanapigwa 4 au zaidi waleWamekufA chuma 2
Walicheza jana, niliangalia mechi yote tulifungwa 2-0Uliambiwa wanacheza leo bro?
Uwanja ulikuwa topeWakija pale Emirates wanapigwa 4 au zaidi wale
Sio kwamba nyie ndio mmechanganyikiwa, miaka saba yote juzi mmestrugle kumfunga chelsea ambayo iko hoi inayotafuta kujipata, ndio mnategemea mkamfunge madrid!!.
Sio kwamba nyie ndio mmechanganyikiwa, miaka saba yote juzi mmestrugle kumfunga chelsea ambayo iko hoi inayotafuta kujipata, ndio mnategemea mkamfunge madrid!!.
Mafanikio yenu UEFA msimu huu ni kumfunga PSG hakuna jingine.
arsenal2004
Hawakwepo lakini mfumo ulikwepo.Hiyo picha hapo inaonyesha kwamba miaka saba iliyopita, hao watu hawakuwa Arsenal. Maanake ni kwamba si kweli kuwa hao wachezaji wamekuwa pamoja kwa miaka saba.
Sasa namimi sijawaelewa wanaomshangaa caicedo.Hawakwepo lakini mfumo ulikwepo.
Kwani Arteta si ameanza kufundisha Arsenal 2019 mjomba?? Mpk leo si ni miaka7! Hivyo miaka inahesabika tokea Tetea amekua incharge. Ina maana wachezaji wakija wanakuta mfumo.
Sasa nyie mlivyokua wa hovyo mnahesabu kila mchezaji kivyake, wakati wanatumia mfumo uliotengenezwa kw miaka saba.
Wewe sasa hata akili ya utambuzi ni changamoto.Sio kwamba nyie ndio mmechanganyikiwa, miaka saba yote juzi mmestrugle kumfunga chelsea ambayo iko hoi inayotafuta kujipata, ndio mnategemea mkamfunge madrid!!.
Mafanikio yenu UEFA msimu huu ni kumfunga PSG hakuna jingine.
arsenal2004
Mfumo?Hawakwepo lakini mfumo ulikwepo.
Kwani Arteta si ameanza kufundisha Arsenal 2019 mjomba?? Mpk leo si ni miaka7! Hivyo miaka inahesabika tokea Tetea amekua incharge. Ina maana wachezaji wakija wanakuta mfumo.
Sasa nyie mlivyokua wa hovyo mnahesabu kila mchezaji kivyake, wakati wanatumia mfumo uliotengenezwa kw miaka saba.
Grealish kasajiliwa flop.Sasa namimi sijawaelewa wanaomshangaa caicedo.
Ile "They" basi imewachanganya wanafikiri wanaongelewa kina kai na odegaard 😂😂