toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Hii inaitwa imaniArsenal vs madrid ndio fainal, atakae toboa hapo ndoo yake
Hii inaitwa imaniArsenal vs madrid ndio fainal, atakae toboa hapo ndoo yake
FactHii inaitwa imani
Ukecheki Chelkenge walivyobebwa leo? Wao wanadaka mpira ndani ya box hatupewi penalty. Wanatupiga mabuti hawapati kadi ila sisi tukiwagusa kidogo tu, njano.Sahau kuhusu injuries
Bila PGMOL kuweka mkono wao wa msaada kwa liVARpuli, hili kombe tungepita nalo kwa spidi ya kasongo
Fofana alitakiwa ale Red mbiliUkecheki Chelkenge walivyobebwa leo? Wao wanadaka mpira ndani ya box hatupewi penalty. Wanatupiga mabuti hawapati kadi ila sisi tukiwagusa kidogo tu, njano.
Si ndiyo hapo sasa.Fofana alitakiwa ale Red mbili
Kuku alidaka ule mpira
Kila 50/50 favor kwa kenge
Mlokole huyo anachuki za waziwazi haswa na uislamu.Kule kwenye dini kuna mfaa, huku anatupigia kelele tu.
Mara ya kwanza kabla sijamuona kwenye majukwaa ya dini, hapa nilikuwa nasema huyu jamaa ana fix na anajua kuwajaza watu, anafaa kuuguza mgonjwa hata wa kansa.
Nilipomuona kwenye jukwaa la dini nikajisemea ewaa, kwa imani kali ya mchizi kama sio shahidi wa yehova basi mlokole huyu 😂🤣🤣
Kuku vipi EPL ndo imebaki mtabeba?Mlokole huyo anachuki za waziwazi haswa na uislamu.
Vipi ww utabeba?Kuku vipi EPL ndo imebaki mtabeba?
Sheikh hujambo?Vipi ww utabeba?
Mkuu. Maana ya bottler ndo hii kwa Liver kuku kishingohivi "bottlers" ni watu wa namna gani hao
Kabisa, huwa naona chuki za wazi. 🤣Mlokole huyo anachuki za waziwazi haswa na uislamu.
Mtamkoma yule mwamba akija humuLabyrinth 84 anachinja kuku kule
Huyu Slot msimu wake wa mwisho utakuwa wa 2025/26. Sioni akifanya maajabu mbele ya Amorin, Tetea na Pep misimu ijayo.Mkuu. Maana ya bottler ndo hii kwa Liver kuku kishingo
Tar 09 February, out FA CUP
Tar 05 March, hawamo UCL
Tar 16 March, nje EFL
Ndani ya mwezi mmoja, NJE MAKOMBE MATATU. Hii ndo BOTTLE JOB uliyokua unaiulizia mkuu.
Mi napenda mashabiki wa timu pinzani mnapoangalia mechi za Arsenal na kutoa judgmentIla jana mpira wenu dhidi ya chelsea jana ulikuwa mbaya sana, afadhali newcastle wametufariji kwa mpira wenye hadhi ya fainali.