Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sahau kuhusu injuries

Bila PGMOL kuweka mkono wao wa msaada kwa liVARpuli, hili kombe tungepita nalo kwa spidi ya kasongo
 
Ukecheki Chelkenge walivyobebwa leo? Wao wanadaka mpira ndani ya box hatupewi penalty. Wanatupiga mabuti hawapati kadi ila sisi tukiwagusa kidogo tu, njano.
Fofana alitakiwa ale Red mbili

Kuku alidaka ule mpira

Kila 50/50 favor kwa kenge
 
Kule kwenye dini kuna mfaa, huku anatupigia kelele tu.

Mara ya kwanza kabla sijamuona kwenye majukwaa ya dini, hapa nilikuwa nasema huyu jamaa ana fix na anajua kuwajaza watu, anafaa kuuguza mgonjwa hata wa kansa.
Nilipomuona kwenye jukwaa la dini nikajisemea ewaa, kwa imani kali ya mchizi kama sio shahidi wa yehova basi mlokole huyu 😂🤣🤣
Mlokole huyo anachuki za waziwazi haswa na uislamu.
 
Newcastle wamevaa jezi zimeandikwa 'winners 25'. Liverkuku nao walijiandalia mavazi fulani kwa ajili ya kuvaa kama wangeshinda.

Utakuta kuna mabasi ya kuzungushia kombe mitaani tayari yameoshwa na kupakiwa ili kesho asubuhi washerekee na mashabiki.

Utakuta vibali vya kufunga baadhi ya barabara na polisi wa kuangalia usalama na ustaarabu wameshaandaliwa.

Utakuta Liverkuku walifanya yote hayo. Sasa wanabidi wazitume hizi jezi kwa nchi za dunia ya tatu kama misaada.
 
Wanafiki na vizabizabina hutowaona kule jukwaa la Liver kuku kishingo.
 
Mkuu. Maana ya bottler ndo hii kwa Liver kuku kishingo

Tar 09 February, out FA CUP

Tar 05 March, hawamo UCL

Tar 16 March, nje EFL

Ndani ya mwezi mmoja, NJE MAKOMBE MATATU. Hii ndo BOTTLE JOB uliyokua unaiulizia mkuu.
Huyu Slot msimu wake wa mwisho utakuwa wa 2025/26. Sioni akifanya maajabu mbele ya Amorin, Tetea na Pep misimu ijayo.
 
Ila jana mpira wenu dhidi ya chelsea jana ulikuwa mbaya sana, afadhali newcastle wametufariji kwa mpira wenye hadhi ya fainali.
 
Back
Top Bottom