Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Madridi kayakanyaga

Atapigwa Hadi achakae ,Madrid amezoea kukutana na timu mbovu , akikaa vibaya atakula 3+ pale Emirates kwenye kapeti la kijani

Nimebanwa na majukumu ya kazi ,Unajua unapoaminiwa unapewa kampuni kubwa uiendeshe ,mambo mengi yanasimama,Madrid ni wakwaida sana ,ukidhibiti transition zao,

Kwanza kwa kiungo gani Madrid atatoboa mbele ya mighty Arsenal hii ,?
Arsenal vs madrid ndio fainal, atakae toboa hapo ndoo yake
 
Back
Top Bottom