Maybe sababu ya pressure ya derby, game ya manyumbu dogo hakua kwenye kiwango chake tutegemee second half ataingia kuongeza nguvu kwenye ushambuliajiArteta kakosea sehemu moja tu, Nwaneri wa kuanza daima mbele ya Martinelli kwa sasa.
Sitizami mechi, ila martinelli hawezi kabisa kutokea upande wa kulia, bora kule kushoto huwa anabahatisha, au acheze kati kuna game kadhaa aliwahi kucheza vizuri.Arteta kakosea sehemu moja tu, Nwaneri wa kuanza daima mbele ya Martinelli kwa sasa.
Eti eeh?Haya ni mazoezi kwa Madrid
Tuki draw lawama kwa kocha kuchelewa subs
Kufika dakika ya 35 tukakubali kuconcede possession.Timeshindwaje kuwafunga zaidi ya goli 2?
Arsenal vs madrid ndio fainal, atakae toboa hapo ndoo yakeMadridi kayakanyaga
Atapigwa Hadi achakae ,Madrid amezoea kukutana na timu mbovu , akikaa vibaya atakula 3+ pale Emirates kwenye kapeti la kijani
Nimebanwa na majukumu ya kazi ,Unajua unapoaminiwa unapewa kampuni kubwa uiendeshe ,mambo mengi yanasimama,Madrid ni wakwaida sana ,ukidhibiti transition zao,
Kwanza kwa kiungo gani Madrid atatoboa mbele ya mighty Arsenal hii ,?