verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,143
- 6,246
Maybe sababu ya pressure ya derby, game ya manyumbu dogo hakua kwenye kiwango chake tutegemee second half ataingia kuongeza nguvu kwenye ushambuliajiArteta kakosea sehemu moja tu, Nwaneri wa kuanza daima mbele ya Martinelli kwa sasa.