Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2025-03-13-22-52-47-479_com.twitter.android-edit.jpg
 
Ndugu yangu hamis77 muda mrefu sana ulikua unatamani timu yako ikutane na Real Madrid ili muioneshe dunia kua Arsenyo ndio The best team in the world interm of pressing & overloading, positional interchange na flexibility bila ya kusahau aerial duel na set pieces.
Hatimae Mungu amesikia kilio chako na kuwakutanisha na mashababi wa Don Carlo, hivyo mimi pamoja na mashabiki wengine wote humu tumeshakusamehe kwa yote uliyokua unatudanganya, tunakuomba urudi kwenye hili jukwaa tugange yajayo.
Hakika hili jukwaa si lolote si chochote bila ya zile false hopes zako, chawa zako kina mkorea na arsenal2004 walijaribu kuvaa viatu vyako lakini havijawatosha, matokeo yake wameishia kupata matege kutokana na uzito wa viatu vyako, tunakuomba ndugu yetu Masingeli urudi humu ili tuyajenge upya. View attachment 3268917
Jamaa Flano bwege sana...
 
Huo ubavu hamna braza.....mnaelekea kuwa Man U version 2....mnaitumia mihela mingiii halafu hamna mnapokwenda....j2 tutahakikisha ile nafasi ya 4 Pep Guardiola anarudi pale....ni dharau Chelkenge kuwa juu ya City hamna hio hadhi
Tunza hii comment yangu, hao chelsea na man u watachukua kombe kabla yenu.
 
Jamaa anamtaka Guimaraes na Zubimendi.

Guimaraes ana kipengele kinasema Newcastle asipofuzu CL anaweza kuondoka kwa 60M. But msimu ujao CM tuna Rice, Merino, Odegaard, Jorginho, Lewis anapelekwa CM pia. Zubimendi ni 70% done, Guimaraes akija inakuaje?
Screenshot_2025-03-16-15-09-35-011_com.twitter.android-edit.jpg
 
Jamaa anamtaka Guimaraes na Zubimendi.

Guimaraes ana kipengele kinasema Newcastle asipofuzu CL anaweza kuondoka kwa 60M. But msimu ujao CM tuna Rice, Merino, Odegaard, Jorginho, Lewis anapelekwa CM pia. Zubimendi ni 70% done, Guimaraes akija inakuaje?View attachment 3272738
Sijajua unauliza itakuaje kwa upande upi. Ila, it's very unlikely kuendelea na Partey na Jorgi kwa next season.

Two out, two in. Ila hilo dili la Bruno, ni hoax kama hoax zingine
 
Enzo Maresca amefanya homework yake vizuri.

Amejua Arsenal struggles with back five na hicho ndicho ameanza nacho.
Hii yaweza kua response yake ya kipigo cha bao tano tulichowapa.
 
Arsenal XI: Raya, Timber, Saliba, Gabriel, Lewis-Skelly, Partey, Rice, Odegaard, Trossard, Martinelli, Merino

Subs: Neto, Tierney, White, Kiwior, Zinchenko, Calafiori, Butler-Oyedeji, Nwaneri
 
Sijajua unauliza itakuaje kwa upande upi. Ila, it's very unlikely kuendelea na Partey na Jorgi kwa next season.

Two out, two in. Ila hilo dili la Bruno, ni hoax kama hoax zingine
NGoja tujionee bruv
 
Back
Top Bottom