Bora wewe umebaki. Hamisi amehamia unyumbuni mazima.Niliwaambia Liverpool tutamkamata February, hesabu zangu bado zipo valid
Liverpool upcoming games
Man city vs Liverpool
Liverpool vs Newcastle
Arsenal upcoming games
Arsenal vs westham
N. Forest vs Arsenal
UEFA or EPL moja letu
Partey pia ni moto wa mkaa. Huwa anachukua muda kukaa kwenye rhythm na akikaa anawaka muda mrefu. Ila pia ni mwepesi wa kupata injuries za kumkalisha nje muda mrefu. Atakupa mechi 2-3 mbovu ila baada ya haop atakupa hata 10 kali, kama akiweza kukaa fit. Kwa hilo muweke kundi moja na kina Jesus.Unajua kwamba Arsenal tunastruggle hivi kwakua wameumia wachezaji wangapi? 5.
Katika hao 5 regular starters ni 3. Saka, Martinelli na Kai. Wawili waliobaki inategemea kocha kaamkaje, Jesus na Takehiro.
Kimahesabu unahitaji wachezaji 7 tu wa ndani ya uwanja wanaojua wanataka nini ili kushinda mechi.
This means either we are too dependent on pattern or we have to add 3 world class players
Wanapanic tu. Huu mfumo mpya hauna seeding kwa timu za association moja. Kinachokutanisha timu ni nafasi walizomaliza kwenye league phase pamoja na waliotoana kwenye play-off. Timu zikifanikiwa kupita league phase, hakuna cha kukwepesha timu za association moja. Ni wa 9 atakutana na wa 17, wa 10 na wa 18, wa 11 na wa 19, nakadahalika. Ndiyo maana PSG alikutana na Brest. Baada ya hapo pia bahati nasibu iko clear.Watu wanalalamika online
Kwanini timu za EPL zipo pamoja.
Same na Germany.
Barca anacheza tena na Benfica.
Inasemekana hii set up ni ili Madrid akutane na Liver.
Wanaamini ni set up
Acha kutukumbusha mambo ya mwaka juzi na jana.Niliwaambia Liverpool tutamkamata February, hesabu zangu bado zipo valid
Liverpool upcoming games
Man city vs Liverpool
Liverpool vs Newcastle
Arsenal upcoming games
Arsenal vs westham
N. Forest vs Arsenal
UEFA or EPL moja letu
Tuongeze intensity tu, magoli atafunga yeyote. Me ninachokiona sometime tupo slow sana, tunakuwa predictableShida ni kwamba tatizo letu hatuna attack ambayo itatubeba kwenda kwenye kombe
Huyu mtoto fala kweli.Robin van Persie when asked about where he considers himself at HOME:
"For me, only Manchester United is home, they gave me my first PL championship and applauded even when I scored against United in Europa League with Fenerbarçe.’’
‘’As for Arsenal, the fans here are willing to give up my shirt even though I have devoted 8 years to the club. I really don't want to go there again."
Alikuwa anacheza mechi 5 msimu mzima anarudi kwny meza ya matibabu.....kala Pesa ya bure sana ya Arsenal halafu anategemea tumkubali kwa undava alotufanyia baada ya kuona kapona kabisa na akatutosa....ilitakiwa tupangwe na wale Feyernood tukutane naye azomewe mwanzo mwshoHuyu mtoto fala kweli.
Huyu bwege na Ashley Cole mimi sitawasamehe aslani.Alikuwa anacheza mechi 5 msimu mzima anarudi kwny meza ya matibabu.....kala Pesa ya bure sana ya Arsenal halafu anategemea tumkubali kwa undava alotufanyia baada ya kuona kapona kabisa na akatutosa....ilitakiwa tupangwe na wale Feyernood tukutane naye azomewe mwanzo mwsho
Alikuwa anacheza mechi 5 msimu mzima anarudi kwny meza ya matibabu.....kala Pesa ya bure sana ya Arsenal halafu anategemea tumkubali kwa undava alotufanyia baada ya kuona kapona kabisa na akatutosa....ilitakiwa tupangwe na wale Feyernood tukutane naye azomewe mwanzo mwsho


Punguzeni hasira ndugu zangu, mtaishia kujipa maradhi ya moyo pasi na sababu zozote za msingi.Tupo pamoja sana mazeeBora wewe umebaki. Hamisi amehamia unyumbuni mazima.
Flano unajisahau sanaNa mnashuka daraja msimu huu🤠🤠🤠....mechi mlizobakisha zote ni vichomi kwenu....
Anakua na account mbili alafu anakua msahaulifuFlano unajisahau sana