Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye game ya Liver na Wolves, jinsi Liver wanavyocheza hata kama wameshinda, utagundua Liver upepo umeanza kukata.

Game yao na Aston villa nikajua hawa wakijitahidi sana sare. Na kwa jinsi Man city anavyocheza sasa hivi hasa nilivyoona ile game yao na Newcastle, hapa Liver lazima afe.

Nilikuwa nimekata tamaa ya ubingwa, kumbe mbio bado kabisa, kimasihara masihara Arsenal anachukua kombe.
 
Kwenye game ya Liver na Wolves, jinsi Liver wanavyocheza hata kama wameshinda, utagundua Liver upepo umeanza kukata.

Game yao na Aston villa nikajua hawa wakijitahidi sana sare. Na kwa jinsi Man city anavyocheza sasa hivi hasa nilivyoona ile game yao na Newcastle, hapa Liver lazima afe.

Nilikuwa nimekata tamaa ya ubingwa, kumbe mbio bado kabisa, kimasihara masihara Arsenal anachukua kombe.
Shida ni kwamba tatizo letu hatuna attack ambayo itatubeba kwenda kwenye kombe
 
Niliwaambia Liverpool tutamkamata February, hesabu zangu bado zipo valid

Liverpool upcoming games
Man city vs Liverpool
Liverpool vs Newcastle

Arsenal upcoming games
Arsenal vs westham
N. Forest vs Arsenal

UEFA or EPL moja letu
Shida yetu tunaweza angusha point kwenye game ambayo tunapaswa kupata pointi
 
Robin van Persie when asked about where he considers himself at HOME:

"For me, only Manchester United is home, they gave me my first PL championship and applauded even when I scored against United in Europa League with Fenerbarçe.’’

‘’As for Arsenal, the fans here are willing to give up my shirt even though I have devoted 8 years to the club. I really don't want to go there again."
 
Nyie washika manati mkibahatika kumtoa huyo kibonde

Robo fainal mnaenda madrid eitha kwa muhuni elcholo au benabu🤣🤣🤣🤣

Nawashaur jivunjen mtolewe mapema 😀😀😀

Smnamuona yule vinicious atakabwa na zichenko wenu🤣😀
 
Robin van Persie when asked about where he considers himself at HOME:

"For me, only Manchester United is home, they gave me my first PL championship and applauded even when I scored against United in Europa League with Fenerbarçe.’’

‘’As for Arsenal, the fans here are willing to give up my shirt even though I have devoted 8 years to the club. I really don't want to go there again."
8 years vitandani kwetu. Mpuuzi
 
20250221_194059.jpg
 
Back
Top Bottom