Ni kama mtabahatika kuipata hiyo mentality.Liverkuku kashakata moto ni sisi tu kuwa na mentality ya ubingwa.
Liver wana game changer in the name of Salah.Niliwaambia Liverpool tutamkamata February, hesabu zangu bado zipo valid
Liverpool upcoming games
Man city vs Liverpool
Liverpool vs Newcastle
Arsenal upcoming games
Arsenal vs westham
N. Forest vs Arsenal
UEFA or EPL moja letu
Shida ni kwamba tatizo letu hatuna attack ambayo itatubeba kwenda kwenye kombeKwenye game ya Liver na Wolves, jinsi Liver wanavyocheza hata kama wameshinda, utagundua Liver upepo umeanza kukata.
Game yao na Aston villa nikajua hawa wakijitahidi sana sare. Na kwa jinsi Man city anavyocheza sasa hivi hasa nilivyoona ile game yao na Newcastle, hapa Liver lazima afe.
Nilikuwa nimekata tamaa ya ubingwa, kumbe mbio bado kabisa, kimasihara masihara Arsenal anachukua kombe.
Shida yetu tunaweza angusha point kwenye game ambayo tunapaswa kupata pointiNiliwaambia Liverpool tutamkamata February, hesabu zangu bado zipo valid
Liverpool upcoming games
Man city vs Liverpool
Liverpool vs Newcastle
Arsenal upcoming games
Arsenal vs westham
N. Forest vs Arsenal
UEFA or EPL moja letu
Nyinyi wenu bado maana unaweza shangaa mmeshuka darajaCastr anzeni preseason msimu wenu umeisha
epl 🤣 tushamalizaNyinyi wenu bado maana unaweza shangaa mmeshuka daraja
8 years vitandani kwetu. MpuuziRobin van Persie when asked about where he considers himself at HOME:
"For me, only Manchester United is home, they gave me my first PL championship and applauded even when I scored against United in Europa League with Fenerbarçe.’’
‘’As for Arsenal, the fans here are willing to give up my shirt even though I have devoted 8 years to the club. I really don't want to go there again."