Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,328
Wapo wengi ila mbona tumepenya tukamchungulia kipa mara nyingi? Tumekosa umakini tu ile FH ilibidi tuondoke hata na 2-1.Westham kama wapo wengi hivi, nyuma wapo wengi na kwenye kushambulia pia wapo. KESI IMESHAKUA NGUMU HUKU
