Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuanzia dakika hii 53' mnatakiwa kushinda sio chini ya goli 5. KENGE nyie
 

Attachments

  • Screenshot_20250206_001239_FotMob.jpg
    Screenshot_20250206_001239_FotMob.jpg
    76.9 KB · Views: 11
Arsenal hii game mkipindua nitawapa Kongole

Ila naona Newcastle akishinda goli zaidi ya mbili
Arsenyo anapigwa konzi kulingana na size ya kichwa yake.
Jitahidini wanangu mbona ni simple tu kupiga comeback ya goli 5, mbona hata mama sita mempiga 5 hivi ni vitu simple tu kwa Arsenyo.
1357548847.jpg
 
Baada ya hii mechi mashabiki ndiyo watakumbuka kwamba Arteta aliahidi kusajili hii January.

Ushindi kwa City uliziba hii kumbukumbu
 
Back
Top Bottom