Arteta anajua kuwaliwazaOyaaa! Siamini kinachoendelea
aloooo!!
Nakumbuka mwaka jana ulimponda sana 😹Nipo safarini, sicheki game.
Hao wanaomtukana kai wamechelewa kumjua, sisi tulisema kai ni kiazi, wao wakabaki na takwimu zao sijui ariel duels, sijui kimeenda kimerudi..
Mie nilishagongelea msumari kai ni kiazi na hafai kuchezea arsenal.
Ni kama vile nilivyopokea matusi wakati nasimama na partey, watu walipiga kelele wee, kiko wapi.
Kai ni kiazi.
Ikiwezekana miaka ya kai ipunguzwe apewe partey
Ebwana tumeshinda na Kai kafuta makosaNipo safarini, sicheki game.
Hao wanaomtukana kai wamechelewa kumjua, sisi tulisema kai ni kiazi, wao wakabaki na takwimu zao sijui ariel duels, sijui kimeenda kimerudi..
Mie nilishagongelea msumari kai ni kiazi na hafai kuchezea arsenal.
Ni kama vile nilivyopokea matusi wakati nasimama na partey, watu walipiga kelele wee, kiko wapi.
Kai ni kiazi.
Ikiwezekana miaka ya kai ipunguzwe apewe partey
Kuongezea magoli ya kusaka ubingwa wa ligi kuuSasa Sterling anaingia kufanya nini?