Angekuwa mchezaji wa Arsenal amecheza vile, unadhani nini kingetokea?Kwa mlioangalia mechi, jinsi Bernardo alivyocheza hakustahili kadi?
Wachache wataona hii kwakua tumeshindaAngekuwa mchezaji wa Arsenal amecheza vile, unadhani nini kingetokea?
Kweli. Hata Odegaard alikula njano kwa kumkasirikia refa kwa kupuliza filimbi kwa foul baada ya Odegaard kumnyang'anya mpira Silva nje ya 18 yao na kuanzisha shambulizi ambalo huenda lingeisha na goli. Ode aliona kama amepata mpira kihalali kabisa...ila hasira zake zikampa kadi. Nadhani mchezaji wa City asingepewa kadi kwa hali kama ile.Wachache wataona hii kwakua tumeshinda
COYG! Liverpool ndioa anakuwa kirusi mwaka huu, tupo so unlucky.


Liverpool wala sio Kirusi na Arsenyo hauwezi kusema ni unlucky. Hiyo kugawa utamu husianisha na timu yenu....toa jina la timu yetu hapo unatukosea....tunafungwa kwa bahati mbaya sio kama nyny sehemu yyte na siku yyte mnabondwa tuLiverpool wala sio Kirusi na Arsenyo hauwezi kusema ni unlucky.
Arsenyo shida yenu kubwa ni hamuwezi kubana kalio.
Ligi ikianza hua mnakaza weee, subiri zibaki mechi 10 za mwisho kila mnaekutana nae akiwakonyeza kidogo tu mnagaia utamu halafu mnakuja kujilalamisha kua hamna bahati.
Kuna kamstari kembamba sana kanako watenganisha Arsenyo na mademu wa Kirangi.
Pumbav🤣🤣Liverpool wala sio Kirusi na Arsenyo hauwezi kusema ni unlucky.
Arsenyo shida yenu kubwa ni hamuwezi kubana kalio.
Ligi ikianza hua mnakaza weee, subiri zibaki mechi 10 za mwisho kila mnaekutana nae akiwakonyeza kidogo tu mnagaia utamu halafu mnakuja kujilalamisha kua hamna bahati.
Kuna kamstari kembamba sana kanako watenganisha Arsenyo na mademu wa Kirangi.
Sisi hatuna bahati, halafu zaidi tunaonewa pia. Kinachotusevu ni kwamba bolu tunalijua na tunalipiga haswa mpaka saa zingine hata tukose bahati vipi au tuonewe vipi, tunajikuta tumeshinda. Umesahau ile mechi yetu na nyie ya FA? Mwishowe mkatutoa ila ingekuwa ni Liverkuku siku ile ungekuta wamewapiga 6.Liverpool wala sio Kirusi na Arsenyo hauwezi kusema ni unlucky.
Arsenyo shida yenu kubwa ni hamuwezi kubana kalio.
Ligi ikianza hua mnakaza weee, subiri zibaki mechi 10 za mwisho kila mnaekutana nae akiwakonyeza kidogo tu mnagaia utamu halafu mnakuja kujilalamisha kua hamna bahati.
Kuna kamstari kembamba sana kanako watenganisha Arsenyo na mademu wa Kirangi.
Wangekuwa wanaweka na missesWhoscored's POTM
View attachment 3222810
FinanceKozi gani hiyo
Somo linachanganya sanaa kufaulu ilibidi nipige chabo mwanzo mwenga!hahaha, we sio mtu wa kwanza kukusikia.
Unapoteza muda kumpa airtime mtu hajui mpira.Sisi hatuna bahati, halafu zaidi tunaonewa pia. Kinachotusevu ni kwamba bolu tunalijua na tunalipiga haswa mpaka saa zingine hata tukose bahati vipi au tuonewe vipi, tunajikuta tumeshinda. Umesahau ile mechi yetu na nyie ya FA? Mwishowe mkatutoa ila ingekuwa ni Liverkuku siku ile ungekuta wamewapiga 6.
Mola akupe miaka ya kukutosha.![]()
Arsenal (The Gunners) | Special Thread
Kama Arteta ameshiriki kuongopa juu ya usajili ili mashabiki watulie usajili usipofanyika nini tutarajie haswa kuanzia game na City Jumamosi Sio kazi rahisi kumpata mchezaji mzuri January, vinginevyo uvunje benki wakati unasubiri kiboko cha PSRwww.jamiiforums.com
Amina mkuu. Na wewe piaMola akupe miaka ya kukutosha.
Aimeen!Amina mkuu. Na wewe pia