Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Leo nasoma comments tu
Bado haifanyi awe mchezaji wa maana, bado kai ni kiazi tu, sijawahi tengua hii kauli, hata afunge hat-trickEbwana tumeshinda na Kai kafuta makosa
Ondoa shaka, tena msimu huu utapata hata kama tusipochukua ubingwa.Nakumbuka mwaka jana ulimponda sana 😹
Vipi jezi yangu safari hii napata? 😜
Sijaangalia game, Nimeona matokeo, ni jambo la kufurahisha leo tumempakata man city.makaveli10 umeona ball wanalocheza leo washika mitutu 😻
Leo nimefurahi tunavyowakaza Man city
Kozi gani hiyoKila nikiuona huu uzi, macho yangu yanatua kwenye jina la muanzisha uzi "game theory"
Siachi kufikiria jinsi hili somo lilivyonitesa.
Mkuu?


Hongereni sana The Gunners, kumfunga Mama Cita goli 5 sio mchezo, sidhani ndani ya hii misimu minne kuna timu nyingine yoyote iliyoweza kumgonga City goli 5.Kiongozi wao ni hamis matakwimu😂, nakumbuka bro uli sema hapa.Nipo safarini, sicheki game.
Hao wanaomtukana kai wamechelewa kumjua, sisi tulisema kai ni kiazi, wao wakabaki na takwimu zao sijui ariel duels, sijui kimeenda kimerudi..
Mie nilishagongelea msumari kai ni kiazi na hafai kuchezea arsenal.
Ni kama vile nilivyopokea matusi wakati nasimama na partey, watu walipiga kelele wee, kiko wapi.
Kai ni kiazi.
Ikiwezekana miaka ya kai ipunguzwe apewe partey
hahaha, we sio mtu wa kwanza kukusikia.Kila nikiuona huu uzi, macho yangu yanatua kwenye jina la muanzisha uzi "game theory"
Siachi kufikiria jinsi hili somo lilivyonitesa.
Hizi huwa nzuri sana, safi NumbisaWhat a start! Akanji loses the ball and Ødegaard nets it! Arsenal 1-0 Man City
View attachment 3222804
Numbisa K-drama zina improve lugha yako 😁😊
Ni Mara 10 acheze Trosard, kuliko kai makeleleBado haifanyi awe mchezaji wa maana, bado kai ni kiazi tu, sijawahi tengua hii kauli, hata afunge hat-trick
Acha hizo, nili soma sehemu wadogo zako Wana Tema ung'eng'e 😁Hahahaa ni copy and paste hio
we mpira unaangiliaje, kwamba Liverpool ni wazuri kwenye press? huyo sio klopp ni slotHii ndio tofauti yetu sisi na Liverpool. Na ndio maana Liverpool hayupo pale juu kimakosa.. Liverpool kwenye pressing wapo vizuri sana hawajawahi kuridhika.. Ukiingalia hii mechi ni kama vile Arsenal wameridhika na hawataki kuwapress Man city ambayo inaonekana wapo Vulnerable sana. Kuna muda wanacheza back pass ambazo hazina maana wakisubiri man city wafanye makosa ndio watumie nafasi.
Ze duduuuuuuuuh, umekubali mziki, sisi hatutaki ubingwa, furaha yetu city kafa mkonoWanetu ubingwa mnabeba msimu huu
Ze dudu anaelewq maumivu ya 5-15-1 sio matokeo mageni,kuna watu wakiyaona wanakumbuka kitu
Naona umetukubali kiaina, lakini bado umetusagia kunguni!Hongereni sana The Gunners, kumfunga Mama Cita goli 5 sio mchezo, sidhani ndani ya hii misimu minne kuna timu nyingine yoyote iliyoweza kumgonga City goli 5.
Mngefanikiwa kumgonga goli 6 ingependeza zaidi tukawapachika rasmi jina la Man6 kama tulivyo wagongaga nyie goli 8 na kuwapachika jina la Arse8.
All in all leo jiji na Manchester limefedheheshwa vibaya mno sio kwa Nyumbu wala hawa dada zake Nyumbu.