Yan maajabu sanaHavertz alivyokosa mpaka Guardiola kashika kichwa kachuchumaa chini kiasi ya kwamba hajaamini ni kwanini Havertz kakosa pale.. Havertz ni fala sana, upo peke yako kabisa unashindwa hata kupiga on target
Bora hata acheze Alessia Russo😁😁😁Huyu havertz kama ndo tegemeo mbele apo...tumeisha
Nipo safarini, sicheki game.
Hii kitu niliiona mapema sanaKuna kila dalili city atapata goal
Game wenyewe tunafanya iwe ngumu
Mkuu?Hayo ni maneno tu ya mkosaji anaongea huku roho inamuuma, kwani huyo baiSkelly wenu amesubiri miaka mingapi kuingia 1st eleven?
Nakuhakikishia huyohuyo Castr ulie mquote atakuja kulialia humu na kulaumu kwa nini Arsenyo inauza wachezaji ambao ni assets kama Ayden Heaven na Chido Obi-Martin kwa bei ya maandazi na kuiacha migalasa kina Kai KiaziView attachment 3222014View attachment 3222015