Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanangu sina MB nimekaa kwenye mnara mmoja hivi ila nataka kusema COYG
 
🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Havertz alivyokosa mpaka Guardiola kashika kichwa kachuchumaa chini kiasi ya kwamba hajaamini ni kwanini Havertz kakosa pale.. Havertz ni fala sana, upo peke yako kabisa unashindwa hata kupiga on target
 
Havertz alivyokosa mpaka Guardiola kashika kichwa kachuchumaa chini kiasi ya kwamba hajaamini ni kwanini Havertz kakosa pale.. Havertz ni fala sana, upo peke yako kabisa unashindwa hata kupiga on target
Yan maajabu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom