Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hii mechi nafikiri ilitakiwa aisimamie Michael Oliver ila ametolewa.
Kuna conspiracy theory moja nimeisikiliza wiki iliyopita. Michael Oliver hua anaenda Saudi kuchezesha mechi moja na kurudi UK kila akienda analipwa 20K£ wakati akichezesha hizi mechi za EPL hulipwa 1K£ kwa wiki.
Shirika linalomuita na kumlipa linamilikiwa na mmiliki wa City. Hoja ikasemwa, hata kama haambiwi kua anagewa hiyo pesa ili awapendelee yeye binafsi hashindwi kujiongeza ili azidi kugewa hizo kazi.
Pia at some point Barcelona ilikutwa na hatia ya kuwahonga marefa, kipindi wanakutwa na hii hatia kocha alikua Pep na SD alikua Aito.
Makosa 115 ambayo EPL inajivuta kutoa hukumu yametokea wakati kocha ni Pep na SD ni Aito. The theory believe kwamba uwepo wa watu walewale city, waliohonga wakiwa Barca, inaashiria ni sahihi kuamini hawa pia wameleta hayo mambo EPL.


Wazee wa conspiracy theory, yaani hii timu kuanzia kocha, wachezaji mpaka mashabiki wake hua wanaishi kwa imagination's. Mtu anakaa anajitungia kastori kake mwenyewe halafu anaanza kujiaminisha na kuwaaminisha wenzake.
Humu kila siku tunaongea Arsenyau shida yao kubwa ni mentality, siku watakayo achana na maisha ya ndoto wakaishi kwenye uhalisia wa mambo ulivyo watabeba mpaka kombe la dunia.
Sasa hayo Makosa 115 yaliwazuia nini Arsenyo kuchukua ubingwa msimu wa 2022/2023 hali yakua mmeongoza ligi kwa siku 258 na zimebakia mechi 6 ligi kumalizika Arsenyo inaongoza ligi kwa point8 dhidi ya City?
Hayo Makosa 115 yamezuia nini kubeba kombe msimu ulioisha mpaka City akawa overtake na kumaliza ligi kwa tofauti ya points chache na nyinyi?