Hata mngefungwa Arsenal hatupo in good shape.Unataka kuwa bingwa halafu unatafuta msaada kwa vitimu kama Bournemouth, Are you serious ??????![]()
Endeleeni na maisha
Hata mngefungwa Arsenal hatupo in good shape.Unataka kuwa bingwa halafu unatafuta msaada kwa vitimu kama Bournemouth, Are you serious ??????![]()
Don't be bitter mate, he couldn't have clipped himself and trip if he wasn't touched in the first place.
😱Ukija kujua kwamba kihistoria mtani wako wa jadi ni man city na mafanikio yao ni aibu kwako utaanza kuelewa mpira. Sasa hivi wewe bado
Basi ft ni 0-1Kwa namna mechi inavyoenda inamaanisha bila refa kutoa penati isivyo sahihi ilibidi iwe nil nil mpaka muda huu.
Hii post Flano umeisoma?Mfano wewe ni beki unayechipukia kwenye timu yako yupo Magalhaes, Saliba, Timber, White, Skelly, Calafiori, Tomiyasu, Kiwior na Tierney.
Kwa umri wako siyo tatizo ukiwa first 11 hawa mabeki wote hakuna anayezidi 26 utasubiri miaka mingapi ili uje utoboe?
Kisha kuna timu inakutaka mabeki wao tegemezi ni Maguire, Martinez, Yolo, Shaw, Malacia, Evans, De Ligt. Wanakulipa vizuri pia.
Wewe ungebaki Arsenal?
Hii mechi ni risk kwakua sisi ni wabovu kwenye transition na breaking play na hii ni aina ya scoring city kapigwa msimu huu.Muhindi mwenyewe kamkataa city, kenge na nyumbu endeleeni kutupigia keleleView attachment 3221885
Msishangae city akamaliza juu yetu.Yaani ni kwamba tunakutana na city ikiwa tayari imefanya usajili huku sisi tukiwa tunapiga mark time
Kwa odds hizo za 1.95 arsenal hatutoboi labda odds zibadilike,Muhindi mwenyewe kamkataa city, kenge na nyumbu endeleeni kutupigia keleleView attachment 3221885
Hii post Flano umeisoma?


Hayo ni maneno tu ya mkosaji anaongea huku roho inamuuma, kwani huyo baiSkelly wenu amesubiri miaka mingapi kuingia 1st eleven?


Ili kuwa bingwa, shinda mechi zako bila kujali mpinzani anabebwa au la.
Sasa si sababu halali kabisa hizo? Sisi lazima tushinde japokuwa tunadidimizwa kila wakati, huku wenzetu wanashinda huku wanabebwa kila wakati. Lazima sisi tuchoke mwisho wa sikuIli kuwa bingwa, shinda mechi zako bila kujali mpinzani anabebwa au la.
Misimu miwili iliyoisha mlikuwa mnaangalia zaidi makosa ya refarii yaliyo ifavor city dhidi ya wapinzani wake, msimu huu mmehamia kwa liverkuku!
Kila msimu mnatafuta sababu ya kushindwa kwenu kunyanyua kwapa.
LIVERPOOL- EPL
LIVERPOOL/BARCA- UCL
MAN UTD -EUROPA
NEWCASTLE- CARABAO
CITY -FA
HAALAND/SALAH -KIATU
ARSENAL- PHASE SIX
Huu ni mtego ili mhindi apige hela, stuka kijana.Muhindi mwenyewe kamkataa city, kenge na nyumbu endeleeni kutupigia keleleView attachment 3221885
Sasa cha kushangaza nini hapo wakati ligi bado mbichi kabisa na injini ya city imeanza kupata moto? Ikitokea leo mmepigwa gap tayari ni point 4 kama sijakosea.Msishangae city akamaliza juu yetu.